Sura ya hamo tumuachie Mungu tu. [emoji23][emoji23]kwakweli hana bahati....
Ndo nlimshangaa alivomsema marehemu wakati harmo sura yake teh, tena bora harmo huyu mpya dah sijui ni ba mutu ba wapi
ya mchumba mpya tumuachie Mungu na malaikaSura ya hamo tumuachie Mungu tu. [emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Sio kiki tu ya muziki wa engineya mchumba mpya tumuachie Mungu na malaika
Nimecheka SanaWakwako utatuonyesha lini shost?
Kizazi cha wachagga nadhani kimebadilika sana . Kutoka kile cha zamani cha "unashika chakula ya mtoto, ukimalisa, funika sambi ni sako mwenyewe" hadi hiki cha akina snura, tunda na wolper?
Mmmmmmmmh! Kumbe mpo halafu tunapishina humu ndani jamani!Na sie bado hatujaolewa so tusicheke mamba kabla hatujavuka mto
Hauna sura la kijambaziMmmmmmmmh! Kumbe mpo halafu tunapishina humu ndani jamani!
Hapana aisee Nina sura ya mwanaume anayefaa kuitwa baba wa watoto wako kabisa.Hauna sura la kijambazi
sawaaHapana aisee Nina sura ya mwanaume anayefaa kuitwa baba wa watoto wako kabisa.
Yaweza kuwa kweli ehee! Tukayajenga .sawaa
Hapana simjui, sidhan kama atakua rika langu, maana vijana wa rika langu wa mwana K, igovu, national housing sidhani kama kuna hata mmoja nisiyejua. Mimi nimemalza form 4 mwaka 2002, kipindi hicho sadick alikua anarap kundi la fire extinguisher na kina armstrong matogwa, na alikua anaimba km juma nature. Hata mimi nilikua naimba na kila jumapili tulikua tunakutana eneo flan linaitwa Greenpark garden ili kupimana uwezo makundi yote ya mpUnamjua Mdudu Kaa?
Unaweza kuumba wewe? Weka picha ya mumeoHuyu jamaa hatari sana kama Saibogi hahahahahahaha
Mi naona nikupe like ya hivi...."nimekulike"Wolper awe na amani, kuibiwa hapa si rahisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ya mchumba mpya tumuachie Mungu na malaika
Ulitaka mume wake aweje?Wolper ni Star asiyembaguzi kwenye mahusiano kama kamuelewa jamaa cha ajabu nini?weka picha ya mumeo tumuone.(kwanza hujaolewa)