Pre GE2025 Mume wa Zamaradi Shabani Saidi atoa "msaada" wa mabati na T Shirt kwa wananchi wa Masasi

Pre GE2025 Mume wa Zamaradi Shabani Saidi atoa "msaada" wa mabati na T Shirt kwa wananchi wa Masasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Sarakasi za kuelekea Uchaguzi Mkuu zimeanza rasmi.

Sasa hivi kuna watu wameshaanza kujitengenezea njia za kuwa wabunge na viongozi mwaka 2025 na mmojawapo ni mume wa Zamaradi Mketema.

============================================

Shabani Saidi Mkurugenzi wa Zamaradi TV amekabidhi vitu mbalimbali wilayani masasi kwa lengo la kuisaidia jamii kwa kile kidogo alichojaliwa kukipata

Ametoa bati, 40 kanisa la Anglicana chiwale, T shirts 36 kwa wanakwaya kanisa la Mtakatifu secilia parokia ya lukuledi, mabomba mawili na mipira ya maji s/m lukuledi, viti , 30 kanisa la chikunja la tag, Aidha Ndugu Shabani amechangia divai lita 20 katika makanisa ya lukuledi na chiwale.


SBN.png
 
HONGERA BROTHER SHEBBY. MAISHA NI WATU . UMETOA FUNZO NA UPENDO MKUBWA
 
Huyu si ndie asiejua kuandika, mzee wa ulisi.

Ila uzuri sifa ya kuwa mbunge Tz ni kuweza kuandika kidogo na kusoma japo kidogo.

1733918585092.png
 
Kwenye Zawadi Ya Divai Tunampongeza Mnoo Ngoja Tushughulikie Swala La Nyama Na Si Nyama Tu,,Bali Nyama Ya Kitimoto Mwisho Wa Mwaka Uweze Kwisha Vyema
 
Shemeji katuletea mabati 40 tukarabati nyumba za ulisi😎

But why makanisani tu?kwanini hakuna msikiti?
 
Zamaradi huwa anajiona ana akili nyingiiiiiiiii, ndio anamdanganya huyo jamaa.
Na ukute kamshauri afanye hivyo ili ajitengenezee umaarufu wa mwakani, akiamini ataweza.
 
Huyu anaweza kuwa Mbunge kwa nguvu ya anco wake PM.
ndo maana anajiamini na ameanza kampeni za kimya kimya.
 
Wakuu,

Sarakasi za kuelekea Uchaguzi Mkuu zimeanza rasmi.

Sasa hivi kuna watu wameshaanza kujitengenezea njia za kuwa wabunge na viongozi mwaka 2025 na mmojawapo ni mume wa Zamaradi Mketema.

============================================

Shabani Saidi Mkurugenzi wa Zamaradi TV amekabidhi vitu mbalimbali wilayani masasi kwa lengo la kuisaidia jamii kwa kile kidogo alichojaliwa kukipata

Ametoa bati, 40 kanisa la Anglicana chiwale, T shirts 36 kwa wanakwaya kanisa la Mtakatifu secilia parokia ya lukuledi, mabomba mawili na mipira ya maji s/m lukuledi, viti , 30 kanisa la chikunja la tag, Aidha Ndugu Shabani amechangia divai lita 20 katika makanisa ya lukuledi na chiwale.


View attachment 3174439
Darasa la saba hilo
 
Hahahaha kwamba atapita kwa kishindo!
Kamtuma mumewe akatoe zawadi ya tshirt na mabati
Na ukute kamshauri afanye hivyo ili ajitengenezee umaarufu wa mwakani, akiamini ataweza.
Mmesahau Zamaradi naye aliwahi kugombea Kinondoni akapata kura 2? Tulicheka mno, na hivi huwa anajiona akili kubwa.

Siasa sio mchezo, wenzao wamejijenga huko miaka yote wao wanaleta mambo ya zimamoto kampeni zikikaribia. Wajumbe wanawachora tu, wakati wao wa kula huu.
 
Wakuu,

Sarakasi za kuelekea Uchaguzi Mkuu zimeanza rasmi.

Sasa hivi kuna watu wameshaanza kujitengenezea njia za kuwa wabunge na viongozi mwaka 2025 na mmojawapo ni mume wa Zamaradi Mketema.

============================================

Shabani Saidi Mkurugenzi wa Zamaradi TV amekabidhi vitu mbalimbali wilayani masasi kwa lengo la kuisaidia jamii kwa kile kidogo alichojaliwa kukipata

Ametoa bati, 40 kanisa la Anglicana chiwale, T shirts 36 kwa wanakwaya kanisa la Mtakatifu secilia parokia ya lukuledi, mabomba mawili na mipira ya maji s/m lukuledi, viti , 30 kanisa la chikunja la tag, Aidha Ndugu Shabani amechangia divai lita 20 katika makanisa ya lukuledi na chiwale.


View attachment 3174439
Ndio huyu mtoto wa Dadaake Kasimu Majaliwa?
 
Wakuu,

Sarakasi za kuelekea Uchaguzi Mkuu zimeanza rasmi.

Sasa hivi kuna watu wameshaanza kujitengenezea njia za kuwa wabunge na viongozi mwaka 2025 na mmojawapo ni mume wa Zamaradi Mketema.

============================================

Shabani Saidi Mkurugenzi wa Zamaradi TV amekabidhi vitu mbalimbali wilayani masasi kwa lengo la kuisaidia jamii kwa kile kidogo alichojaliwa kukipata

Ametoa bati, 40 kanisa la Anglicana chiwale, T shirts 36 kwa wanakwaya kanisa la Mtakatifu secilia parokia ya lukuledi, mabomba mawili na mipira ya maji s/m lukuledi, viti , 30 kanisa la chikunja la tag, Aidha Ndugu Shabani amechangia divai lita 20 katika makanisa ya lukuledi na chiwale.


View attachment 3174439
Mathayo 6: 1-3

Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni.

Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu.

Amin, nawaambieni, wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume.
 
Back
Top Bottom