Mume wangu ananipa Kila kitu kasoro kitu kimoja tu. Nishaurini nataka kuvunja hii ndoa

Mume wangu ananipa Kila kitu kasoro kitu kimoja tu. Nishaurini nataka kuvunja hii ndoa

Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Unasumbuliwa na upweke!na unapenda kuishi uswahilini sio!!?

Inaonekana mara nyingi upo peke Yako ye akiwa kazini!!

Halafu Bado unaathiriwa na life la chuo sio!!

Mwambie unamleta mtu was kwenu kama mdogo wako binam ndugu TU update kampani!!

Kama Kuna umeme sometimes cheki movies au series ukiwa mwenyewe!!

Kama Kuna shamba karibu hapo na maji yapo Lima mboga mboga kama nyanya,kunde,mchicha n.k!!

Mwambie akutengenezee Banda la kuku ufuge kuku wa kienyeji yaani ukiamka uwe bize Hadi saa Tano au SITA mchana!! Kama una Tv lipia hata DStv Kuna chanell za movies Kali!!

Anza ufugaji na kulima Bustani jioni mwagilia bustani!!

Life after campus huwa inawasumbua wengi sana!!

Achana na mawazo ya kazi kutafuta tengeneza kazi mwenyewe hapo nyumbani kwako!!!
 
You can do anything but don't play with my mind


Mwambie huyo mwanamke awe makini Sana. Life is not all about materials possession but peace of mind

One bullet
One gun

Take Care
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Wewe dada ni kenge,
Roma haikujengwa siku moja,sasa MTU Ana kazi, haulali njaa,pipe unapata, unataka ahamie mjini, kwa sababu kijijini hupapendi, na hapajachangamka?!
Maisha, ya ndoa, ni uvumilivu, cha kufsnya my sister, tafuta kazi, hata kama utapata sehemu ya mbali kama mtwara na kagera, au Arusha na songwe,we nenda kazini,mtakuwa mnakutana kupeana raha tu, ukipata kazi, beba mimba,ripoti kituo cha kazi, unachotaka kufanya ni ujinga, yaani uvunje ndoa, kisa hapo unapoishi hapajachangamka?!
Kingine, una uwezo, wa kubana miguu,? Maana ndoa za mbali nazo ni changamoto!
Mi niliweza, nipo mtwara, familia ipo singida,nakuja natia mimba nasepa,mpaka mtoto anazaliwa mi sipo, wife akataka kuleta kelele,jibu moja tu, siwezi kuacha kutafuta pesa eti nije niishi karibu ili nikupe tendo LA ndoa, Bora ndoa ife, ila Mimi na tafuta pesa, alielewa, na ya Mungu mengi,Mambo yakabadirika sasa hv tupo pa moja sio kama zamani kuonekana baada ya, miezi Sita,
Leo Nina watoto wanne,maisha mazuri,matunda ya Mimi kuwa, mbali kipindi hicho, anayaona, huwa,namkumbusha, alipotaka kuondoka kisa nipo mbali,
Ndoa ni uvumilivu, kaa na mwenzio muyajenge, cha kukutoa hapo, iwe umepata kazi tu, sababu zingine, ni upuuzi, ndoa inadumu hatq kama mmoja yupo Mtwara, nanyumbu, mwingine tupo kagera Kyelwa, au Tunduma na mwingine Kisalawe dar,
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Jamani,mmeo anakupenda.Ndoa ya kuishi mbalimbali si ndoa.Hebu tulia na mmeo,mtie moyo,ajiendeleze kimasomo ipo siku atakuwa kamishna wa polisi.Ma polisi wanaanzia mbali wewe.Wewe binti hebu never take anything for granted. Nakuapia huyo mmeo ipo siku atakuwa boss,ila kuwa boss na kuishi mjini kuna hatua ngumu ni pamoja na kuishi vijijini.
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Sasa hakupi nini hapo ambacho umesema hakupi.

Ondoka
Toroka
Hata kufuata wala maana anafahamu mahitaji yako ya kuishi sehemu ambayo utakuwa unatokatoka
 
Bro unajiona unajua ila wewe na wote walio like nasikitika kuwaambia akili zenu zipo mbali sana nyie ndio wale wanafunzi kuelewa hadi fimbo nyingi sana .

Huyo jamaa atakua na page ambayo wanawake wapo huru kutoa ya moyoni na yeye ni mwanaume ila anakopi kule na kuwaletea huku.

Mbona jamaa anacheza kete rahisi hivi....?kwa nini wazito hivyo kuusoma mchezo
Sio kazi yetu kuanza kufikiria hayo yote. Ajiongeze
 
Wewe hata hueleweki na nyuzi zako mara mwanaume mara mwanamke unajisikiaje kujifanya jinsia fulani wakati sio? Au ndo biashara matangazo Mkuu?
 
Jamani,mmeo anakupenda.Ndoa ya kuishi mbalimbali si ndoa.Hebu tulia na mmeo,mtie moyo,ajiendeleze kimasomo ipo siku atakuwa kamishna wa polisi.Ma polisi wanaanzia mbali wewe.Wewe binti hebu never take anything for granted. Nakuapia huyo mmeo ipo siku atakuwa boss,ila kuwa boss na kuishi mjini kuna hatua ngumu ni pamoja na kuishi vijijini.
Itabidi
 
Back
Top Bottom