Mume wangu ananipa laki 5 kila mwezi mama anadai hazitoshi nirudiane na x wangu

Hali ndivyo ilivo siku hizi, wazazi wana dictate mahusiano ya watoto wao wa kike, haswa kama kamsomesha kwa gharama.
Next time ukiona unasumbuliwa na mkeo, jua kuwa unadeal na maamuzi ya kijiji na sio mtu mmoja!
Aisee acha kabisaa
 


ARV Kila siku ndo akili itakaa vizuri

Ukianza kutumia ARV Kila siku ndo akili itakaa sawa.
 
Msikilize tu mama kama yeye ndiye aliyeolewa bi dada.
 
Tuelewane sasa:- WANAWAKE WANAPENDA PESA KUTOKA KWA MWANAUME.
 
Kama ni kweli basi dunia iko mwishoni... kwanza umeonesha kutojitambua na pili umeanika uozo wa mama ako mzazi na kwa maelezo yako mumeo hana mke.... jitafakari na sikiliza moyo wako maana hichi kisa sio cha kushauriwa!!!!
 
Ila mafamilia ya kimasikini ni ya ajabu yaani jukumu la mama Yako na mzee linakiwa lako completely Sasa huyo mke wa baba Yako anaidhije na mume wake kama ana roho chafu kiasi cha kutaka kuvunja ndoa Yako na kukurudisha kwa jitu lenye familia yake yaani unataka kuwa nyumba ntogo/ndogo kwa kuacha ndoa halali alafu huo mshara wa m3 unaitaje mdogo?, ukishaowa au kuolewa mnafocus kujenga ndoa yenu na familia yenu sio familia za ukweni hizo ni kama tu unajiweza mi sipendi umasikini na wapumbavu waliokua na kufikia umti wa kuitwa baba na mama
 
Wewe ukichez na kucheka na mama Yako hata huyo mumeo utamkosa na like libaba linakuhudumia utalikosa maana litasitisha hizo pesa kadiri umri unavyoenda hamna bond yoyote na Hilo baba ukalishitaki wapi una mme wa ndoa apokea milioni 3 unaona ndogo ?
 
Just imagine eti Hilo limama limekuwa kufika umri wa miaka hiyo, mpumbavu yanazeeka, eti litaitwa bibi
Mkuu kimsingi ni kwamba mwanaume ndio huwa anachagua mama wa watoto wake, na hapa ni pakuwa makini sana kama mama wenyewe ndio hao, ukioa usiangalie matako mkuu...Hii ishue imenishangaza sana
 
Mkuu kimsingi ni kwamba mwanaume ndio huwa anachagua mama wa watoto wake, na hapa ni pakuwa makini sana kama mama wenyewe ndio hao, ukioa usiangalie matako mkuu...Hii ishue imenishangaza sana
Wangu ana matako lakini hawezi kuwa na tabia hii mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…