Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

Wana Jf ninaombeni ushauri wenu juu ya hili jambo maana nahitaji kuokoa ndoa yangu.

Mimi na mme wangu tumeoana miaka zaidi ya kumi iliyopita lakini kwa kipindi kirefu sasa performance yake kitandani imedorora.

Kila tukiamua kula tunda yeye anawahi kumaliza na kuniacha mimi nikiwa nasumbuka kitandani bila msaada wowote.

Naumia sana je nifanye nini?

Chepuka. Tafuta dereva wa bajaji.
 
Na madawa mnayotumia siku hizi ndio kabisa hamfiki kileleni mpaka baada ya masaa 4.sasa si mtatuua nyie
 
unapajua kileleni??????????????? ni wapi??????????????????????? na umepajuaje??????????????????
 
Hehehe.
mwanamke kutokufika kileleni=anasababisha mwanamke

mwanaume kuchepuka=anasababisha mwanamke

una majibu mepesi, have you ever considered politics as a career?

Sikutaka kutamka chochote humu,ila bandiko lako limenichekesha hadi basi!
Sipati picha povu lililokua linakutoka mtetezi-wa-wanawake wewe!
 
msaidie yeye kuelewa nini afanye ili muwe mnamaliza wote kwa haswa kwenye maandalizi
 
Wana Jf ninaombeni ushauri wenu juu ya hili jambo maana nahitaji kuokoa ndoa yangu.

Mimi na mme wangu tumeoana miaka zaidi ya kumi iliyopita lakini kwa kipindi kirefu sasa performance yake kitandani imedorora.

Kila tukiamua kula tunda yeye anawahi kumaliza na kuniacha mimi nikiwa nasumbuka kitandani bila msaada wowote.

Naumia sana je nifanye nini?

kwani zamani ilikuwaje? ana mabadiliko yeyote katk maisha? kama una vpesa kdgo, cku mtoe out kwa whole day na ikiwezekana, mkalale guest, badili kila kitu katika normal lyf ya kila cku, na mpate mazngra mapya... kama waweza, hakikisha 'amemaliza' kabla hajakuingia, then mkaoge na kupumzka na kuanza upya, itampa muda mrf wa ktafta cha uwili, na mwelekeze vle unapenda akufanyie, kwa matendo, co lazma iwe sauti! utafanikiwa tu!
 
asante Almight for ur quality advice. Barikiwa ndugu
 
Wana Jf ninaombeni ushauri wenu juu ya hili jambo maana nahitaji kuokoa ndoa yangu.

Mimi na mme wangu tumeoana miaka zaidi ya kumi iliyopita lakini kwa kipindi kirefu sasa performance yake kitandani imedorora.

Kila tukiamua kula tunda yeye anawahi kumaliza na kuniacha mimi nikiwa nasumbuka kitandani bila msaada wowote.

Naumia sana je nifanye nini?

Wewe tafuta siku umpe tigo aka ndogo nina imani atakufikisha kileleni..
 
kilimanjaro bardiiiiiiiiiii, halafu mlima wake una bardiiiiiiiiii, sasa we unataka ufike umejiandaaje na huyo mpandaji?
 
Miaka zaidi ya 10 uje ulalamike Leo ? Huo mchepuko ulio-upata ndio unajidai kuja kutafutia justification hapa ili uende huko? Mhmh !


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tatizo kubwa lishe kabla ya tendo. Mwambie awe anakula dona samaki wabichi [wawe wamechemshwa wasiwekwe mafuta]. Nusu saa kabla ya tendo. Lakini pia kama ni mtu wa kilevi mwambie achanganye zanzi na redbull. Hapo lazima uombe achomoe u.ja.mbe.
 
Leo ijumaa ngoja niwahi mazoezi. Hizi topic zinazidi sasa...a wake up call of some kind!!
 
Chepuki huku
Wana Jf ninaombeni ushauri wenu juu ya hili jambo maana nahitaji kuokoa ndoa yangu.

Mimi na mme wangu tumeoana miaka zaidi ya kumi iliyopita lakini kwa kipindi kirefu sasa performance yake kitandani imedorora.

Kila tukiamua kula tunda yeye anawahi kumaliza na kuniacha mimi nikiwa nasumbuka kitandani bila msaada wowote.

Naumia sana je nifanye nini?
 
Back
Top Bottom