Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Abiria yuko makini na mzigo wake!Maisha ya ndoa kazi sana dadeq
Imajini anayewaziwa hali chakula cha nyumbani ni mtu mzima kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abiria yuko makini na mzigo wake!Maisha ya ndoa kazi sana dadeq
Imajini anayewaziwa hali chakula cha nyumbani ni mtu mzima kabisa
Acha ulofa mwanaume upikeKwani mwanamke kutojua kupika ndiyo licence ya mume kula nje? Ukiona mwanaume anafanya hivi basi ujue ni mshamba fulani. Dunia ya sasa wakati mwingine unakaa na mkeo jikoni mnapika wote. Yale mambo ya mume kutoingia jikoni yamepitwa na wakati.
Hata Mimi sili home ,tuko ivyoHabari zenu wapendwa?
Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.
Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.
Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Sikutegemea ukubali kwani siyo kila ana exposure au ametoka anaishi karne hii.Acha ulofa mwanaume upike
Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.
Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.
Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
mmakuwaKabila gani huyo bwana ako ?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Una bahatiii
Ungempata kama wa Ndugu yetu hapa ungejuta kujisusisha
Bado sana huyuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila bado saana.
Possible kabisaaa anawaza hapoo wee akitoka itakuaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au kuna ulaji hapooo, ndo maan hataki kutokaa.
Sio wote za kuambiwa wachanganye na zao huyu Wake kichomi aseehh[emoji38][emoji38]Aisee[emoji23]Bina[emoji23]
Ushauri wako huu utawaingiza watu mkenge.
Itakuwa wako umemkanyaga bina.Sio wote za kuambiwa wachanganye na zao huyu Wake kichomi aseehh[emoji38][emoji38]
Hujasomea sasa kuolewa utaolewa tu🤣🤣Bora ningethomeaga uthithtaa 😛
Hapana uolewe tutachangia send off uende kwa mumeo 😆 😆 😆Bora ningethomeaga uthithtaa 😛