Mume wangu hataki msamaha wangu

Mume wangu hataki msamaha wangu

Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Mke na mume mnafikia hatua ya kukimbizana na rungu. Utafikiri Kingai na Mahita wapo kwenye utekaji
 
Wasiwas wangu kupigwa maana anasema nilivyomuuma nitamtambua na chumban Kuna sime na rungu
Badala ya kuhofia kuachwa!! Maana dalili zote ziko wazi, wewe bado unawazia vitu ambavyo havipo! Pole sana.

Pambania ndoa/nyumba yako kabla mambo hayaja haribika kabisa. Tafuta suluhu mapema iwezekanavyo. Kuna mwenzako ameshachukua nafasi yako kitambo.
 
Kwa ufupi tu huyo hakupendi ashakuchoka kuna mtu kaichukua nafasi yako kwa kipindi kile ambacho haukuwepo mapenzi yamehamia kwa aliyekuwa anamhudumia wakati wewe ukiwa mjamzito.
Si kweli.

Huyo analinda ndoa yake isiharibike kwa makosa ambayo amefanya. Mwanamke asitake kujua zaidi. Mengine yaliyotokea wakati hayupo ayaache. Amuombe msamaha wasonge mbele.
 
ficha rungu, then shika sime mkono wa kulia

fungua mlango kwa mkono wa kushoto then sikilizia
 
Pole sana kwa hilo.
Kwanza ondoa hizo silaha rungu na sime chumbani.

Kisha mtumie sms ya kumuomba msamaha kuwa hutorudia kosa lako tena.pia andika ujumbe wa mahaba na heshima.

Kisha mpikie mumeo chakula anachokipenda zaidi.

Akirudi nyumbani hakikisha umekuwa smart mithili ya kuvutiwa na ww.

Mpokee mumeo, muandalie maji yakuoga, mpe chakula anachopenda na mfariji mumeo hakika hasira zitaisha na atakusamehe. Tumia lugha ya upole, sura ya kimahaba na sio uoga.

Siku zote mwanaume anahitaji vitendo vinavyompa yeye heshima kwa mke wake, na mwanamke anahitaji maneno yenye kuakisi mahaba na upendo. Hii ndiyo kanuni.

Kila raheli utanipa mrejesho
Thread ifungwe. Huu ndio wenyewe huupati kokote hata kwa Mama ushauri.

Kitendo cha kupoka simu yake kilijenga picha ya mapambano. Na siku zote wanaume hutarajia kushinda tu. Ndio anaandaa mazingira kukuonesha yeye ni zaidi yako. Epusha shali. Mpe ushindi, maisha yasonge mtoto akue.

Pia KAZI iendelee! Km arobaini tayari.

Kule hakuna chuki wala hasira
 
Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Pole mwanaume anatakiwa abembelezwe jamani kama baby

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Mwanaume anatakiwa aombwe msamaha kwa utulivu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Toa hilo rungu na sime ndani
 
Kosa lako ni lipi hapo? Udhaifu wako ndio kuteseka kwako.
Umeisha jiuliza kwann alikuwa ataki ushike simu yake?
Je zaman ulikuwa una uhuru wa kushika simu yake?
Kwann akirudi usiku anafikia sebren na kuanza kuchat had saa 7 usiku?
Had hio saa 7 usiku anakuwa anachat nini na nan?
Kwann hiyo hali imejitokeza baada ya ww kwenda kwenu kujifungua?
Je zaman alikuwa hvyo?

Wewe umia tu hapo kumbe sahv mwenzio yupo anapozwa huko ulipo mng'ata
 
Back
Top Bottom