Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Msamaha lazima uombwe katika suala lao na aidha ukubaliwe au ukutaliwa wajue wanafanya nn ili liishe... Ninachoeleza hapo ni njia ya kutumiaSasa anamuombaje msamaha mtu ambaye alishakuwa amemnunia tokea awali....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda amedokezwa mtoto sio wake ,,,Wasiwas wangu kupigwa maana anasema nilivyomuuma nitamtambua na chumban Kuna sime na rungu
Naogopa Sana
Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.
Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.
Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.
Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.
Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
hapana aiseeHivi nitaoa kweli kwa hali hii?
kwanini umuume mume wako nasema upigwe tu na utapigwa na hilo sime na rungu mpaka akili ikukae sawasawaWasiwas wangu kupigwa maana anasema nilivyomuuma nitamtambua na chumban Kuna sime na rungu
Sasa unamlazimisha nini kuchukua sinu yake,we mwache tu,atajiregulaye mwenyeweNaogopa Sana
Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.
Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.
Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.
Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.
Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Ni kweliSiri moja ya wanaume wanaochepuka ni kuwa na hasira bila sababu ya msingi!! Nakupa za ndani kabisaa!!! Mchunguze.
Wababe,aseeyule jamaa anayeambiwa na mkewe kuwa sijapika wala sijakununulia chochote km una njaa lala utakulA kesho, aje aone wenzie huku
Mkuu tangu mkeo amekuminya tukengele umekuwa na tuhasira hasira sana mkuu.Kuwa na utu tafadhali, kwa hali hii ndio maana sihitaji kuwa verified.
Hasira zetu sio hadi tuwe na michepukoSiri moja ya wanaume wanaochepuka ni kuwa na hasira bila sababu ya msingi!! Nakupa za ndani kabisaa!!! Mchunguze.