Mume wangu leo tunakunywa chai na nini ..?

Mume wangu leo tunakunywa chai na nini ..?

Nyie mikia mngejibuje eti?

Sesten Zakazaka
Troisième Ceil
Van pebles

au ndio mngeishia kusema ngoja nikabahatishe vitafunwa Bunju. 🏃‍♂️🏃‍♂️


Bora yako wewe chai unayo ila unauliza kitafunwa,, mimi mwenzako taangu Sukari iruke bei kutoka sh1800/= hadi sh 2500/=, chai naisikia kwa wengine tu, mimi nyumbani ni mwendo wa uji wa chumvi tu.🤣🤣
 
Ila achen utan aisee.mwanaume ukiishiwa ndani ya nyumba ni disaster.Unataman hata kutoka kwa kutoroka kama sio kwako vile
 
Mwanamke nae afanye kazi au kibiashara
Mi nje kuna matuta ya viazi
Na sasa naanza kuwaza kupanda migomba
 
Back
Top Bottom