Kwani hamna kiporo kilichobaki mke wangu? Maana leo nimeuwawa.😎Nyie mikia mngejibuje eti?
Sesten Zakazaka
Troisième Ceil
Van pebles
au ndio mngeishia kusema ngoja nikabahatishe vitafunwa Bunju. 🏃♂️🏃♂️
Mke wangu ana akili kama Tima wa tangazo la Tigo, kwa hiyo hilo swali asingeniuliza.😬Nyie mikia mngejibuje eti?
Sesten Zakazaka
Troisième Ceil
Van pebles
au ndio mngeishia kusema ngoja nikabahatishe vitafunwa Bunju. 🏃♂️🏃♂️
😂😂😂😂😂😂😂😂Tunakunywa na mdomo
😂😂😂😂😂😂Kwani hamna kiporo kilichobaki mke wangu? Maana leo nimeuwawa.😎
Nyie mikia mngejibuje eti?
Sesten Zakazaka
Troisième Ceil
Van pebles
au ndio mngeishia kusema ngoja nikabahatishe vitafunwa Bunju. 🏃♂️🏃♂️
Uwiii!! Leo ndio naiona hii quote Mtani. Duuuh.Mke wangu ana akili kama Tima wa tangazo la Tigo, kwa hiyo hilo swali asingeniuliza.😬
Weee!! Hapo anaenda kwa mpemba tu kisha anakuja kusawazisha mambo. LolMke wangu ana akili kama Tima wa tangazo la Tigo, kwa hiyo hilo swali asingeniuliza.😬
Duuh!! Ila sio mbaya Mkuu kikubwa tumbo limepata chochote kitu.Bora yako wewe chai unayo ila unauliza kitafunwa,, mimi mwenzako taangu Sukari iruke bei kutoka sh1800/= hadi sh 2500/=, chai naisikia kwa wengine tu, mimi nyumbani ni mwendo wa uji wa chumvi tu.🤣🤣
Hii konki zaid halaf applicable..nishajibiwa sana hil jib na maza enzi hizoo 😂😂😂😋Na mluzi
Mwanaume wa kweli haishiwi anapungukiwa tuuIla achen utan aisee.mwanaume ukiishiwa ndani ya nyumba ni disaster.Unataman hata kutoka kwa kutoroka kama sio kwako vile
Sawa mkuu.Mwanaume wa kweli haishiwi anapungukiwa tuu
Labda hao wa huko kwenu
carrotJIBU KAMA MME ASIYE NA PESA HATA MIA ..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunakunywa chai na majani [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya twende kazi [emoji116]
Aisee na mimi ndio naiona hii quote Shadeeya.Uwiii!! Leo ndio naiona hii quote Mtani. Duuuh.
😂😂😂Aisee na mimi ndio naiona hii quote Shadeeya.