Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Mbona kimya na mrejesho hakuna au ndiyo umepata mtu akaongeza idadi ya watu waliolala na wewe akasepa?
 
Nasu, Mbona niko hapa. Nafanya kazi ya ulinzi, unanipita tu hapa nimekaa kama hunioni.
 
nakuja
Kichwa cha habari hapo juu cha husika

Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu

Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu

Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia

Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight

Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu

Ur love Nasu
 
Nataka nikustiri usiendelee kuhangaika, njoo ue mke wa pili
Ninaamini tukiwa watatu tukaunganisha nguvu basi tutafanikiwa katika maisha haya. Njoo usichelewe
 
Kichwa cha habari hapo juu cha husika

Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu

Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu

Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia

Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight

Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu

Ur love Nasu
Nipo mke wangu! Sema heka heka za Maisha zilituweka mbali mbali. Ujumbe wako nimeupata japo kwa kuchelewa. Lakini kwa vile Mimi ndo mume wako halali, niliyetengwa na anayetenga kwa ajili yako! Basi naamini hakuna lililoharibika. Njoo unipokee PM tafadhali mke wangu, nimeshafika na mabegi yapo mlangoni.

Kama alishajitokeza wa uongo mfiche hata jikoni nikishaingia chumbani utamtoa nje wala sitajali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Kichwa cha habari hapo juu cha husika

Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu

Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu

Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia

Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight

Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu

Ur love Nasu
Kama Ni kweli, Jah akupe haja Ya moyo wako kupitia humuhumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa cha habari hapo juu cha husika

Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu

Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu

Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia

Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight

Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu

Ur love Nasu
Mfuate hukohuko, labda kanaswa njiani
 
Back
Top Bottom