Mume wangu sijui kaolewa na mama yake??

Mume wangu sijui kaolewa na mama yake??

Ok just a question to you and Sipo, ukioa na ukakaa vizuri tu na mkeo ukazaa watoto saba, ukafa watoto hao wanalelewa na nani? wajane wanaitwa nini? au mnadhani single parent ni CD? ndo maana nawaambia usi discriminate watu na ku assume ndo sababu ya failure
je umeishasikia wasiosoma ukioa wana taabu, waliotoka kabila hili, waliotoka familia maskini/tajiri ni hivi? Ndo maana nakwambia usibebe sifa za familia yako kwenye ndoa ACT yourself!

Mjane sio 'single mother', tafadhali sana kwa hili, usitutukanie mama zetu. Mjane ni mjane, mwanamke mwadilifu aliyeolewa akaishi na mumewe hadi siku kifo kilipowatenganisha. Watoto wa mama kama huyo sio kama wa single mother, ni watu wenye kumbukumbu ya malezi ya baba yao, na hata wao na mama yao huwa wanamkumbuka baba yao huyo.

'Single mother' ni kitu ingine kabisa, ukimuuliza mwanae babako yuko wapi, usishangae ukajibiwa 'simjui'! Lakini mtoto wa mama mjane ukimuuliza atakujibu kuwa baba alifariki. Sababu ya mjane kulea watoto bila baba ni kuwa huyo mumewe alifariki, lakini kwa single mother ni kuwa huyo mume hajawahi kuwapo!

Kujibu swali lako, nikioa na kuzaa watoto 7 kisha nikafa, mke wangu hatakuwa 'single mother', atakuwa mjane. Na watoto wangu nitakuwa nimeshirikiana na mke wangu kuwalea hadi siku hiyo nitakapokuwa nimekufa, na hata kama yule wa 7 atakuwa mdogo, wale wakubwa zake watakuwa wamepata muda na baba yao si haba, na watamweleza mdogo wao kuwa baba alikuwepo akafariki, mama yao sio single mother ni mtu mwenye heshima zake.

Kumwita mjane 'single mother' ni tusi lisilovumilika. Single mothers ni watu waliochagua aina hiyo ya maisha wakati wanawake wenzao walipoamua kuwa watazaa katika ndoa. Matokeo ya uchaguzi huo ndiyo tunayojadili hapa. Yaani mie kwa kifupi kuhusu suala la kuoa binti wa single mother, jibu langu ni moja tu: SIDANGANYIKI.
 
"Mtoto wa baba" sijawahi kumwona wala kumsikia, najua tu kuwa kuna mtoto wa baba na mama, na mtoto wa mama, basi. Sijawahi kuona wala kusikia 'single father', lakini nawaona 'single mothers' wengi hasa mijini.

Wewe umewahi kuona 'mtoto wa baba' na/au 'single father'? Wakoje hao watu?
Wewe hakuna single mother au single father, kuna :"single parent" tu.
 
Mjane sio 'single mother', tafadhali sana kwa hili, usitutukanie mama zetu. Mjane ni mjane, mwanamke mwadilifu aliyeolewa akaishi na mumewe hadi siku kifo kilipowatenganisha. Watoto wa mama kama huyo sio kama wa single mother, ni watu wenye kumbukumbu ya malezi ya baba yao, na hata wao na mama yao huwa wanamkumbuka baba yao huyo.

'Single mother' ni kitu ingine kabisa, ukimuuliza mwanae babako yuko wapi, usishangae ukajibiwa 'simjui'! Lakini mtoto wa mama mjane ukimuuliza atakujibu kuwa baba alifariki. Sababu ya mjane kulea watoto bila baba ni kuwa huyo mumewe alifariki, lakini kwa single mother ni kuwa huyo mume hajawahi kuwapo!

Kujibu swali lako, nikioa na kuzaa watoto 7 kisha nikafa, mke wangu hatakuwa 'single mother', atakuwa mjane. Na watoto wangu nitakuwa nimeshirikiana na mke wangu kuwalea hadi siku hiyo nitakapokuwa nimekufa, na hata kama yule wa 7 atakuwa mdogo, wale wakubwa zake watakuwa wamepata muda na baba yao si haba, na watamweleza mdogo wao kuwa baba alikuwepo akafariki, mama yao sio single mother ni mtu mwenye heshima zake.

Kumwita mjane 'single mother' ni tusi lisilovumilika. Single mothers ni watu waliochagua aina hiyo ya maisha wakati wanawake wenzao walipoamua kuwa watazaa katika ndoa. Matokeo ya uchaguzi huo ndiyo tunayojadili hapa. Yaani mie kwa kifupi kuhusu suala la kuoa binti wa single mother, jibu langu ni moja tu: SIDANGANYIKI.

Ndugu yangu,
Naomba nikufahamishe kuwa mengi uliyoyasema hapo juu ni matakwa,matarajio na matamanio yako wewe na wengine ambao hawajui kuwa kuna hali zinajitokeza hazikupangwa wala kutarajiwa kwa maana hakuna mtu mwenye mkataba na Mungu na pia hakuna anayepanga kuzaliwa katika mazingira yenye wazazi wote wawili.Nikuulize swali:
HIVI NDUGU UNGEJIKUTA WEWE NI MSICHANA UMEZALIWA KWENYE HALI AMBAYO HAKUNA BABA AU MAMA YAKO HAKUOLEWA UNGEJIHUKUMU HIVIHIVI? - Tafakari ndugu.

Tukirudi kwenye andiko lako -
1.Kuolewa haimaanishi kuwa watoto watakaa na wazazi wote hadi wafikie kujitegemea.Kuna vifo, talaka n.k.Je mtoto aliyezaliwa wakati baba yake alipofariki yeye alikuwa tumboni mwa mama yake utamweka kundi gani kufuatana na uchambuzi wako hapo juu?
2.Kuwa mwanamke mjane ni muadilifu na yule aliyezaa wanawe bila kuolewa siyo muadilifu- nini kigezo chako?Unasemaje kuhusu msichana anayebakwa akapata ujauzito , akazaa kwa vile hakutaka kutoa mimba? N aje inakuwaje kwa mwanamke aliyepewa mimba kwa hadaa ya kuolewa na hatimaye asiolewe? Na vipi kwa mwanamke aliyeolewa akakimbiwa au kutelekezwa na mume na hivyo kujikuta kulea watoto kama mzazi pekee?
Yako maswali mengi mno lakini naachia hapa.
 
Kusema kweli hapa umeongea point kwani hata mimi ni miongoni mwa walioilelewa na Mama pekee. Na kwa jinsi ninavyompenda Mama yangu nisingependa third part hamuudhi Mama kwa sababu ya kunipenda mimi au kwakuwa ni mchumba au mke wangu.
Ingawa siamini kuwa ni lazima kuyafanyia kazi mawazo yote anayotoa Mama lakini pia sidhani kwa jinsi Mama alivyoniangaikia mpaka leo nimekuwa mtu mzima nije nikosane naye kwa sababu ya mwanamke ambaye naye ana Mama yake anayempenda, hii kwangu itakuwa ngumu sana.
Kimsingi ni kwamba Mama ni wa muhimu sana na inabidi kumsikiliza sana kwa anayokushauri lakini pia ni lazima kuyapima yale anayokushari. Lakini pia tusisahahu kuwa hawa wake zetu tukiwasikiliza sana ni wachonganishi baina yetu na Mama zetu wapendwa

Mmmm kama inaleta ukweli vile!!
 
Ndugu yangu,
Naomba nikufahamishe kuwa mengi uliyoyasema hapo juu ni matakwa,matarajio na matamanio yako wewe na wengine ambao hawajui kuwa kuna hali zinajitokeza hazikupangwa wala kutarajiwa kwa maana hakuna mtu mwenye mkataba na Mungu na pia hakuna anayepanga kuzaliwa katika mazingira yenye wazazi wote wawili.Nikuulize swali:
HIVI NDUGU UNGEJIKUTA WEWE NI MSICHANA UMEZALIWA KWENYE HALI AMBAYO HAKUNA BABA AU MAMA YAKO HAKUOLEWA UNGEJIHUKUMU HIVIHIVI? - Tafakari ndugu.

Tukirudi kwenye andiko lako -
1.Kuolewa haimaanishi kuwa watoto watakaa na wazazi wote hadi wafikie kujitegemea.Kuna vifo, talaka n.k.Je mtoto aliyezaliwa wakati baba yake alipofariki yeye alikuwa tumboni mwa mama yake utamweka kundi gani kufuatana na uchambuzi wako hapo juu?
2.Kuwa mwanamke mjane ni muadilifu na yule aliyezaa wanawe bila kuolewa siyo muadilifu- nini kigezo chako?Unasemaje kuhusu msichana anayebakwa akapata ujauzito , akazaa kwa vile hakutaka kutoa mimba? N aje inakuwaje kwa mwanamke aliyepewa mimba kwa hadaa ya kuolewa na hatimaye asiolewe? Na vipi kwa mwanamke aliyeolewa akakimbiwa au kutelekezwa na mume na hivyo kujikuta kulea watoto kama mzazi pekee?
Yako maswali mengi mno lakini naachia hapa.

Mwanamke aliyezaa watoto wake kwenye ndoa ni mwadilifu, period. It doesn't matter nini kinatokea baadae, lakini maadam alihakikisha watoto wake wamezaliwa katika maadili mema ya ndoa, hiyo inathibitisha nia yake njema ya kuwa na watoto waliozaliwa na wazazi wawili wanaoishi pamoja katika ndoa. Mwanamke anayepewa mimba kwa 'hadaa' ya kuolewa, huyo ni mzinzi tu kama wengine wanaozini, na inapotokea akatelekezwa ni kwamba amevuna alichopanda. Anayezaa wanawe bila kuolewa siyo mwadilifu, period. Exception pekee ni kwa mwanamke aliyebakwa tu, wengine wote wanaozaa kwa mtindo huo ni wazinzi tu.

Ningekuwa mimi ni msichana niliyezaliwa na mama ambaye hakuolewa, nisingejihukumu maana katika kuzaliwa huko sina kosa. Lakini ningechunguza mazingira ya kuzaliwa kwangu, kama tendo lile mama alibakwa, ningemshukuru kwa kuchukua jukumu la kulinda uhai, na ningeendelea kumwombea na kumpenda sana. Kama ilitokana na uzinzi wake tu, ningemshukuru kwa kunilea, lakini bado ningemshutumu kwa kunifanyia makusudi hayo ya kunizaa katika mazingira ya unyanyapaa, kwa ubinafsi wake tu wa kutaka kuwa na mtoto bila kujali hisia za mtoto huyo zitakavyoumizwa na mazingira hayo ya kizinzi.
 
Mwanamke aliyezaa watoto wake kwenye ndoa ni mwadilifu, period. It doesn't matter nini kinatokea baadae, lakini maadam alihakikisha watoto wake wamezaliwa katika maadili mema ya ndoa, hiyo inathibitisha nia yake njema ya kuwa na watoto waliozaliwa na wazazi wawili wanaoishi pamoja katika ndoa. Mwanamke anayepewa mimba kwa 'hadaa' ya kuolewa, huyo ni mzinzi tu kama wengine wanaozini, na inapotokea akatelekezwa ni kwamba amevuna alichopanda. Anayezaa wanawe bila kuolewa siyo mwadilifu, period. Exception pekee ni kwa mwanamke aliyebakwa tu, wengine wote wanaozaa kwa mtindo huo ni wazinzi tu.

Ningekuwa mimi ni msichana niliyezaliwa na mama ambaye hakuolewa, nisingejihukumu maana katika kuzaliwa huko sina kosa. Lakini ningechunguza mazingira ya kuzaliwa kwangu, kama tendo lile mama alibakwa, ningemshukuru kwa kuchukua jukumu la kulinda uhai, na ningeendelea kumwombea na kumpenda sana. Kama ilitokana na uzinzi wake tu, ningemshukuru kwa kunilea, lakini bado ningemshutumu kwa kunifanyia makusudi hayo ya kunizaa katika mazingira ya unyanyapaa, kwa ubinafsi wake tu wa kutaka kuwa na mtoto bila kujali hisia za mtoto huyo zitakavyoumizwa na mazingira hayo ya kizinzi.[/QUOTE]


Mkuu are you sure? ....
 
Mjane sio 'single mother', tafadhali sana kwa hili, usitutukanie mama zetu. Mjane ni mjane, mwanamke mwadilifu aliyeolewa akaishi na mumewe hadi siku kifo kilipowatenganisha. Watoto wa mama kama huyo sio kama wa single mother, ni watu wenye kumbukumbu ya malezi ya baba yao, na hata wao na mama yao huwa wanamkumbuka baba yao huyo.

'Single mother' ni kitu ingine kabisa, ukimuuliza mwanae babako yuko wapi, usishangae ukajibiwa 'simjui'! Lakini mtoto wa mama mjane ukimuuliza atakujibu kuwa baba alifariki. Sababu ya mjane kulea watoto bila baba ni kuwa huyo mumewe alifariki, lakini kwa single mother ni kuwa huyo mume hajawahi kuwapo!

Kujibu swali lako, nikioa na kuzaa watoto 7 kisha nikafa, mke wangu hatakuwa 'single mother', atakuwa mjane. Na watoto wangu nitakuwa nimeshirikiana na mke wangu kuwalea hadi siku hiyo nitakapokuwa nimekufa, na hata kama yule wa 7 atakuwa mdogo, wale wakubwa zake watakuwa wamepata muda na baba yao si haba, na watamweleza mdogo wao kuwa baba alikuwepo akafariki, mama yao sio single mother ni mtu mwenye heshima zake.

Kumwita mjane 'single mother' ni tusi lisilovumilika. Single mothers ni watu waliochagua aina hiyo ya maisha wakati wanawake wenzao walipoamua kuwa watazaa katika ndoa. Matokeo ya uchaguzi huo ndiyo tunayojadili hapa. Yaani mie kwa kifupi kuhusu suala la kuoa binti wa single mother, jibu langu ni moja tu: SIDANGANYIKI.

Ndo nilikuwa nakuambia wewe maana mie ndo nimetoka huko, na ninavyoelewa definition yake ni hii from wikipedia, ndo nikasema hii ni generalization, lakini kimsingi hawabaguliwi kuwa wamekuwaje hadi wakawa hivi, kwani hakuna aliependa kuwa hivi, least of all kuzaliwa ktk mazingira hayo, kwa hiyo usiwahukumu, mara nyingi majuto ni mjukuu, wanakuwa wazazi wazuri tu na watoto pia. Ndo nikasema kwenye upendo wowote kama kila mtu angefanana kwa kila hali sijui labda hao ni dada na kaka, maana ukisema marriage failure intokana na mengi sio moja kwa moja kunyooshea kidole huyu hakuwahi kulelewa na baba au mama hivyo ndo tatizo.

"A single parent (also lone parent and sole parent) is a [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Parent"]parent[/ame] who cares for one or more children without the assistance of another parent in the home. "Single parenthood" may vary according to the local laws of different nations or regions.
Single parenthood may occur for a variety of reasons. It could be opted for by the parent (as in [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Divorce"]divorce[/ame], [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Adoption"]adoption[/ame], [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Artificial_insemination"]artificial insemination[/ame], [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Surrogate_motherhood"]surrogate motherhood[/ame], or [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Out_of_wedlock"]extramarital pregnancy[/ame]), or be the result of an unforeseeable occurrence (such as death or abandonment by one parent)."
 
mimi aina ya uzazi nisiokubaliana nao ni huo wa 'out of wedlock'. Na binti aliyezaliwa humo sithubutu kumuoa hata nikitishiwa kufa. Kwa hilo SIDANGANYIKI kamwe. Nimeshaona mifano ya kutosha.
 
mimi aina ya uzazi nisiokubaliana nao ni huo wa 'out of wedlock'. Na binti aliyezaliwa humo sithubutu kumuoa hata nikitishiwa kufa. Kwa hilo SIDANGANYIKI kamwe. Nimeshaona mifano ya kutosha.

Kuna wanawake ambao wanadhani biological clock yao is ticking na wako desperate kuzaa bila kujali baba ni nani au hata kama atashiriki katika malezi na maisha ya mtoto. Hawa ni wale wanawake wajinga na wasio na akili lakini hawajijui kama ni wajinga na hawana akili. Ogopa sana sampuli ya hawa maana wakikunasa utajuta kuzaliwa. Watakuganda kama ruba
 
Kuna wanawake ambao wanadhani biological clock yao is ticking na wako desperate kuzaa bila kujali baba ni nani au hata kama atashiriki katika malezi na maisha ya mtoto. Hawa ni wale wanawake wajinga na wasio na akili lakini hawajijui kama ni wajinga na hawana akili. Ogopa sana sampuli ya hawa maana wakikunasa utajuta kuzaliwa. Watakuganda kama ruba

Tena wanawake wa hivyo unaweza ukavaa kondom yeye anaikata na kucha kwa siri ili mradi tu uzae na wewe. Wanawake wana mambo!
 
Kuna wanawake ambao wanadhani biological clock yao is ticking na wako desperate kuzaa bila kujali baba ni nani au hata kama atashiriki katika malezi na maisha ya mtoto. Hawa ni wale wanawake wajinga na wasio na akili lakini hawajijui kama ni wajinga na hawana akili. Ogopa sana sampuli ya hawa maana wakikunasa utajuta kuzaliwa. Watakuganda kama ruba


Huu mfano ni hai kabisa kuna rafiki yangu mmoja amegandwa na yeye kisa eti mwanamke anadai anataka kuzaa kabla hajafikisha 35, na hapo hajapata mwanaume wa kumtaka ndoa anapata wale wa kupita tu sa jamaa yangu ndo katika kupita kagandwa kama nini....
 
Huu mfano ni hai kabisa kuna rafiki yangu mmoja amegandwa na yeye kisa eti mwanamke anadai anataka kuzaa kabla hajafikisha 35, na hapo hajapata mwanaume wa kumtaka ndoa anapata wale wa kupita tu sa jamaa yangu ndo katika kupita kagandwa kama nini....

Kagandwa au na yeye kapenda? Maana suala kama ni kugandwa mtu unajitoa tu ukiamua. Ila kama hataki kuzalisha mtoto wa 'single mother', mshauri atumie condom siku zote, kwa kila tendo na kwa umakini mkubwa.
 
Back
Top Bottom