Muna akubali yaishe,amfuata mwanaye aliyemtelekeza

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Baada ya tuhuma nzito ya kutelekeza mtoto Munah Love ameamua kumfuata Mwanae BRYAN akiwa ameambatana na Masanja!

Hii imekuja baada ya mwanadada huyo kushambuliwa na mashabiki zake kuwa anayoyafanya ayampendezi mungu ikiwa kama yeye ameamua kuokoka.

Basi kupitia ukrasa wake wa instagram muna Love aliweka video ikimuonyesha yeye akiwa na masanja wakiwa kwenye ndege huku akijiita mama Brayan na kusema kuwa wapo njiani kuelekea kumchukuwa mtoto wake huyo anayedaiwa amemtelekeza
 
Wanavyokana watoto wao hua wanajisahau sana, hawakumbuki kuna wengine hawana uwezo wa kupata hata huyo mtoto mmoja. Kama kina Sepenga
Hawajui tu thamani ya mama, Sepenga ni kama keshajikatia tamaa tu, kabaki kujiita Tanzania sweetheart nothing else, na kujutia mimba ya Kanumba aliyoi flash.
 
Walikuwa wanaelekea wapi na Masanja kumchukua mtoto?
 
Kwenye hili la Muna na mwanaye akiba ya maneno inatakiwa sana kipindi hiki. Ni Mtazamo tu.
 
duuuhh " kweli kauzu " mpaka katelekeza mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…