Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kuna ofisi nyeti nno leo nimeingia (jina kapuni) kuna mdada akawa yupo busy sana na simu nikadhani labda ni sms ya muhimu anajibu.Hahaha asee,ila kweli watanzania wamekua kweli mazezeta
Wakenya wakichukua kazi zao wanalalamikaKuna ofisi nyeti nno leo nimeingia (jina kapuni) kuna mdada akawa yupo busy sana na simu nikadhani labda ni sms ya muhimu anajibu.
Baada ya kuiweka simu chini nikaona yupo Ig.
Nina uhakika ni huu ushuzi alikua akiufuatilia.
Watz safari bado ni ndefu sana kwa kweli.Wakenya wakichukua kazi zao wanalalamika
HahahahaNimesikiliza maelezo ya baba halali wa marehemu hadi machozi yamenilenga. Mtoto apumzike kwa amani ila huyu Muna wenu hana adabu kabisa japo na wewe mleta uzi ni mbeya balaa
Kwa kweliHamna kazi ya kufanya acheni awakomeshe
Tunaanza kumuelewa mangeMwili ndo umetoka airport muda huu
Umeona eeehh!Tunaanza kumuelewa mange
Halafu watoto wa kiumeHamna kazi ya kufanya acheni awakomeshe
basi wacha ni update uzi.Mwili ndo umetoka airport muda huu
mkuu kwani kufanya research ya jambo flani na kuweka hapa ni kukoswa kazi? vp km leo ni wikendi yangu? mm sio mtu mzuri tusikwazane tukaanza kudeal on each other brand ID maalumu kwa ajili ya kukimbiza jf watu km nyieHalafu watoto wa kiume
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]
ni Reasearch mkuu, mbona TWAWEZA hujawaita wambea? au ndo double standards!!Unajiita gentlemen alafu mmbea
ni muda wako tu...pia kama una element za kijournalist ni rahisi sanamkuu hivi mnawezaje kuyachimba mambo ya watu hivyo[emoji23]
Hongera
Ukiwemo na wewe mjinga namba mojaNdiyo maana juzi kina msekwa walikuwa wanatoa maoni ya kijinga kwasababu wanajua wajinga ni wengi sana nchi hii.