Nia yao nishaijua ni kupata utamu tu basiUnaweza kubadilisha reproductive organs lakini sio reproductive system
Masela wanaruka nae tu huko jelaMmh huyu shoga kidawa c mlokole Jaman , imekuaje tena , ila ninachompendea Muna linajua kujipendekeza kwa watu wa maana, ila atengeneze tu pesa, hayo mambo ya ushoga wa bobrisky hayamuhusu[emoji16]View attachment 1846087
Acha sound mzee, mwamba katupwa jela ya wanaumeK ipo alifanyia upasuaji wakuwekewa k uyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha sound mzee, mwamba katupwa jela ya wanaume
Sasa wewe unakoment leo wakat comment yangu ya mda mrefu jitafakari usikurupukeAcha sound mzee, mwamba katupwa jela ya wanaume
Kwahiyo unamaanisha uume umerudishwa au?Sasa wewe unakoment leo wakat comment yangu ya mda mrefu jitafakari usikurupuke
Uume unarudishwa vipi watu wanaangalia vyeti vyako vya kuzaliwa jina linasoma nani kama ni Mwakiborwa jinsi me alaf uhalisi wako ni MWAKIBORWA jinsia ke unasokomezwa kwa jinsi ya cheti ila uume hana uyo jamaaKwahiyo unamaanisha uume umerudishwa au?
Kwahiyo unamaanisha uume umerudishwa au?
Akitoka haji fanya huo upuuzi tena. Kwanza anatoka akiwa na anal cancer and skin cancer. Pia sasa atatumia lile jina lake halisi la Shabani sijui Hamis na sio hilo.[emoji24][emoji24][emoji24] Da Bob atoke jela, aje arushe roho waja.
Unapenda silicone ?Naipenda Shepu yake
Aysee alikosa nini?[emoji24][emoji24][emoji24] Da Bob atoke jela, aje arushe roho waja.
Mbona km una wivu nae weyeee? Kwemaaa?Akitoka haji fanya huo upuuzi tena. Kwanza anatoka akiwa na anal cancer and skin cancer. Pia sasa atatumia lile jina lake halisi la Shabani sijui Hamis na sio hilo.
Walimchelewesha na kumchekea sana. Kwisha habari yake.
Kwenye picha hapo Bob risky.Aysee alikosa nini?
Ambae yupo jela ni bob risky au huyo kwenye picha hapo?
Alikuwa anarusha Naira (currency ya Nigeria) kwa maskini ,sirikali ikamkamata kwa kosa hilo na kumfikisha kunako court hatimaye hukumu ikatoka akahukumiwa kwenda kunyea ndooAysee alikosa nini?
Ambae yupo jela ni bob risky au huyo kwenye picha hapo?