Munalove amvalisha Bobrisky

Munalove amvalisha Bobrisky

Kwahiyo unamaanisha uume umerudishwa au?
Uume unarudishwa vipi watu wanaangalia vyeti vyako vya kuzaliwa jina linasoma nani kama ni Mwakiborwa jinsi me alaf uhalisi wako ni MWAKIBORWA jinsia ke unasokomezwa kwa jinsi ya cheti ila uume hana uyo jamaa
Kwahiyo unamaanisha uume umerudishwa au?
 
[emoji24][emoji24][emoji24] Da Bob atoke jela, aje arushe roho waja.
Akitoka haji fanya huo upuuzi tena. Kwanza anatoka akiwa na anal cancer and skin cancer. Pia sasa atatumia lile jina lake halisi la Shabani sijui Hamis na sio hilo.

Walimchelewesha na kumchekea sana. Kwisha habari yake.
 
Akitoka haji fanya huo upuuzi tena. Kwanza anatoka akiwa na anal cancer and skin cancer. Pia sasa atatumia lile jina lake halisi la Shabani sijui Hamis na sio hilo.

Walimchelewesha na kumchekea sana. Kwisha habari yake.
Mbona km una wivu nae weyeee? Kwemaaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aysee alikosa nini?
Ambae yupo jela ni bob risky au huyo kwenye picha hapo?
Alikuwa anarusha Naira (currency ya Nigeria) kwa maskini ,sirikali ikamkamata kwa kosa hilo na kumfikisha kunako court hatimaye hukumu ikatoka akahukumiwa kwenda kunyea ndoo
 
Back
Top Bottom