Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aiseei!!! Kweli dunia duara, kutoka kucheza mdundiko mtaani hadi ubunge kweli tuna bunge imara sana namna hii!! Maana mcheza ngoma hufuata mdundo si matakwa yake!!NI mtoto wa mbunge wa viti maalum wa Tabora enzi za baba wa taifa marehemu Mosi Tambwe, Munde alisoma isike na alikuwa mchezaji wa breack dance mzuri sana enzi hizo pale Tabora hotel na mwana isungu club, alikuwa mmoja kati ya mabinti wengi wa mzee Tambwe waliokuwa wanasifika sana kwa kucheza ngoma ya mdundiko pale mtaani kwao chemchem yaani ndoa bila mabinti wa hii familia kuwepo hainogi, alipa bahati mbaya ya kupewa mimba ya utotoni akiwa darasa la saba na muuza mitumba maarufu wakati ule wa mitumba kutoka kigoma, ..elimu yake ikifuatiliwa itaibua mengi ndio maana wameachwa maana anajua kusoma na kuandika.
Wallaaa !!!! Kinachotafutwa ni hicho kilichoandikwa tu , hatutaki mengine mkuu .Kuna kitu kinatafutwa hapa
Ni kati ya wabunge bora kabisa wale watatu wa ccm waliopewa Magari ya wagonjwa majimboni mwao ! Nikajiuliza Munde naye ana jimbo ?Aiseei!!! Kweli dunia duara, kutoka kucheza mdundiko mtaani hadi ubunge kweli tuna bunge imara sana namna hii!! Maana mcheza ngoma hufuata mdundo si matakwa yake!!
Mkuu bora tuendelee kushangaa tu maana hii nchi naona ni mambo ya "kumbi na kumbinga!"mpaka wenye haki miliki ya nchi wakisema basi maana....Ni kati ya wabunge bora kabisa wale watatu wa ccm waliopewa Magari ya wagonjwa majimboni mwao ! Nikajiuliza Munde naye ana jimbo ?
Mtatuua chamani na vicheko.NI mtoto wa mbunge wa viti maalum wa Tabora enzi za baba wa taifa marehemu Mosi Tambwe, Munde alisoma isike na alikuwa mchezaji wa breack dance mzuri sana enzi hizo pale Tabora hotel na mwana isungu club, alikuwa mmoja kati ya mabinti wengi wa mzee Tambwe waliokuwa wanasifika sana kwa kucheza ngoma ya mdundiko pale mtaani kwao chemchem yaani ndoa bila mabinti wa hii familia kuwepo hainogi, alipa bahati mbaya ya kupewa mimba ya utotoni akiwa darasa la saba na muuza mitumba maarufu wakati ule wa mitumba kutoka kigoma, ..elimu yake ikifuatiliwa itaibua mengi ndio maana wameachwa maana anajua kusoma na kuandika.
NI mtoto wa mbunge wa viti maalum wa Tabora enzi za baba wa taifa marehemu Mosi Tambwe, Munde alisoma isike na alikuwa mchezaji wa breack dance mzuri sana enzi hizo pale Tabora hotel na mwana isungu club, alikuwa mmoja kati ya mabinti wengi wa mzee Tambwe waliokuwa wanasifika sana kwa kucheza ngoma ya mdundiko pale mtaani kwao chemchem yaani ndoa bila mabinti wa hii familia kuwepo hainogi, alipa bahati mbaya ya kupewa mimba ya utotoni akiwa darasa la saba na muuza mitumba maarufu wakati ule wa mitumba kutoka kigoma, ..elimu yake ikifuatiliwa itaibua mengi ndio maana wameachwa maana anajua kusoma na kuandika.
Kweli kwa kupotezwa na kuoneshwa bastola hatuwezi kutaka mengine!!Wallaaa !!!! Kinachotafutwa ni hicho kilichoandikwa tu , hatutaki mengine mkuu .
Si mchezo... Naamini muuza mitumba hii leo anajinadi aliko "mnamuona yule mheshimiwa? ........." Iko siku anaweza kukwea mpaka nafasi za juu zaidi je muuza mitumba akimwambia ikiwa hatatimiza matakwa yake atatoa siri haitokuwa kama yule mmama wa Korea?Muuza Mitumba kutia Mimba Mtoto wa Mbunge ni jambo la ujasiri sana!
Itakuwa alikuwa anamuuzia Nguo za ndani zile Kama uzi [emoji12][emoji12][emoji12]
Assalaam alaykum Muuza Mitumba ( in Kibondes Voice)
Ndio maana mheshimiwa kairuki kasema awajaguswa wanasiasa lakini kwa maelezo yako mkuu kuna sehemu kunatia shaka(wasi wasi juu ya elimu ya uyu mheshimiwa)DAA DIPLOMA ya accounts ilimfuata akiwa tiari ni account assistant ?nimeona tangu 1994 ameanza kazi hiyo lakini darasa kaanza 2001
msichokonoe mambo! waziri mwenyewe kagwaya!! Wanasiasa!!!Ndio maana mheshimiwa kairuki kasema awajaguswa wanasiasa lakini kwa maelezo yako mkuu kuna sehemu kunatia shaka(wasi wasi juu ya elimu ya uyu mheshimiwa)
Aaaahaah! mkuu wabunge enzi za mwalimu walikuwa hawana mbwembwe kama hawa wa sasa na ukizingatia wabunge tulikuwa tunakaa nao uswahilini tu wala watoto wao hawakuwa adimu, halafu wauza mitumba wa 90" walikuwa ndio mabraza men maana wanatupia jins, raba kali na hela ya soda ilikuwa haiwapigi chenga, yaani walikuwa wanaonekana WATU kama wauza unga walivyo sasa.Muuza Mitumba kutia Mimba Mtoto wa Mbunge ni jambo la ujasiri sana!
Itakuwa alikuwa anamuuzia Nguo za ndani zile Kama uzi [emoji12][emoji12][emoji12]
Assalaam alaykum Muuza Mitumba ( in Kibondes Voice)
Umeona eee mkuu, ndio maana nimesema mimi elimu yake ikichimbuliwa ni utata mtupu itaibua mengi, acha wapewe magari wapeleke majimboni wafunge watu midomo ya kuhoji hoji.DAA DIPLOMA ya accounts ilimfuata akiwa tiari ni account assistant ?nimeona tangu 1994 ameanza kazi hiyo lakini darasa kaanza 2001