Tajy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 298
- 24
Nimeipenda hii!you well analyesed(sijui nimekosea kiingereza)Tatizo ni kuita uasherati/umalaya 'NGONO' ,kwa maana kwa Mungu iwe ngono,iwe ngomo,iwe ng'ono yote ni umalaya ama uasherati,lakini pia tumeelekezwa ni akina nani wafanye tendo la ndoa na si 'kufanya mapenzi' kama mnavyoita nyinyi siku hiziMungu anataja 'tendo la ndoa' kwa maana liwe ni tendo kwa wanandoa TU,sasa leo wakwale nao wanafanya hili tendo,ni sawa?mbali ya hivyo tumeambiwa hili tendo ni la siri,sasa leo ni wapi kuna siri?make watu mna...kama mbwa nje njesasa kama mnaamua kuliita tendo LA NDOA ni kufanya MAPENZI tayari hilo ni kosa kubwa sana,kwa maana tumelitia najisiNionavyo mimi!