Mungu ameumba!!!!

Nimeipenda hii!you well analyesed(sijui nimekosea kiingereza)
 
Mi nna mwaka wa 13 tangu nimeoa, na sijaona machungu ya mapenzi. kwani wenzangu hayo machungu yanatoka wapi?
Tatizo lenu ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu, watu hawataki kuacha baba na mama na kuambatana na mke/mme, kubebana na ndugu ndo chanzo cha machungu ya ndoa.
 
Yaan kaka mi sina la kuongeza hapo
 
Eh jaman hongera kwa hilo
 
MI pia nadhan tukielewa jambo ilo kwa pamoja machungu ya kimapenz yatapotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…