Mungu anapoghairi, anapojuta kwanini alimuumba Mwanadamu na kuamua kumwangamiza...

Mungu anapoghairi, anapojuta kwanini alimuumba Mwanadamu na kuamua kumwangamiza...

Samahani sana mkuu lakini ningependa kuzijua hizo shahidi za kuwepo kwa hiyo miungu
Hii dunia ilikuwa na mamilioni ya miungu kama vile Odin, Thor, Ra,Frey, Baal n.k.

Hiyo miungu haina tatizo maana zipo shahidi za kuwepo kwao. Lakini huyu Mungu wenu wa kwenye vitabu aliyesafirishwa kwa mashua hadi Africa ndiyo mwenye utata wa uwepo wake.

Linapoibuka swala la Mungu huwa tunam-refer huyo Mungu mnayedhania yupo maana waamini wake wanadai kuwa yeye ndiyo Mungu na hakuna kama yeye.
 
Samahani sana mkuu lakini ningependa kuzijua hizo shahidi za kuwepo kwa hiyo miungu
Hakuna ushahidi mwengine hapo zaidi ya kuwa inaonekana tu ndiyo utakuwa ushahidi wake.
 
Hoja yangu ni hilo dai lako kwamba una uhakika mungu hayupo,umeshindwa kutuoa huo uhakika uliyonao ambao unakufanya useme hakuna mungu. Watu washatoa sababu kibao tu za kwanini wanaamini mungu ila wewe unasema una hakika hayupo.
Sababu zinazotolewa kama ushahidi wa uwepo wa Mungu ni za 'kitoto' sana!

Kitu kingine, siyo kwamba nina uhakika wa kutokuwepo kwa Mungu na ndio maana namkataa, si hivyo. Kama ushahidi wa kunishawishi kuwepo kwa Mungu au kama Mungu atajitokeza na kujidhihirisha kama anavyoaminiwa kuwa, basi mimi sintakuwa na tatizo kwenye kumwamini.

Kinacho nishangaza ni kuona watu wazima wakitoa sababu ambazo ni natural kabisa kama shahidi za kuwepo kwa Mungu ilihali hawana uhakika na uwepo wa Mungu.
 
Samahani sana mkuu lakini ningependa kuzijua hizo shahidi za kuwepo kwa hiyo miungu
Huyo Baal hata kwenye Bible wamemtaja.
Hao Thor, Odin, na Frey[?] ilikuwa miungu ya wa Norse[Scandinavia]. Kuna Mungu kwajili ya kustawisha mazao, kuna Mungu kwajili ya kuzalisha wamama, kuna Mungu aliyehusika na vita.

Kwahiyo kama mtu anajifungua, anamwomba Mungu anayehusika na kujifungua.

Kama wanakwenda vitani, kuna Mungu wa kumwomba ili washinde vita. Kwa ufupi wascandinavia walikuwa na miungu wengi waliohusika na majukumu mbalimbali.

Waroma walipovamia na kutawala Ulaya, walikataza watu wasiabudu hiyo miungu kwa kigezo cha kuwa ni miungu ya wapagani. Waliwaua watu walioendelea kuabudu hiyo miungu hatimaye ulaya ikaanza kuamini miungu ya kiroma[Baba, Mwana na Roho Mt.] ambaye ndiyo chanzo cha ukristo.

Maeneo mengine kama India nako wana Miungu yao, China, Japani na Asia yote walikuwa na Miungu tofauti.
Mungu wa waarabu anaitwa Allah.
Hata wa-Afrika walikuwa na miungu yao ila walipokuja wakoloni waliwakataza wafrika wasiiabudu kwa kigezo kuwa ni mashetani.

Kwa ujumla kila jamii ya watu ilikuwa na Miungu yao, kama jamii fulani ilipigana na nyingine na kushinda vita, washindwa walifanywa watumwa na kulazimishwa kuabudu miungu ya washindi wa vita maana ndiyo yenye nguvu zaidi.

Watu ndio waliomuumba Mungu kwenye fikra zao na sii Mungu ndiye aliyeumba watu kama inavyoaminishwa leo.
 
Huyo Baal hata kwenye Bible wamemtaja.
Hao Thor, Odin, na Frey[?] ilikuwa miungu ya wa Norse[Scandinavia]. Kuna Mungu kwajili ya kustawisha mazao, kuna Mungu kwajili ya kuzalisha wamama, kuna Mungu aliyehusika na vita.

Kwahiyo kama mtu anajifungua, anamwomba Mungu anayehusika na kujifungua.

Kama wanakwenda vitani, kuna Mungu wa kumwomba ili washinde vita. Kwa ufupi wascandinavia walikuwa na miungu wengi waliohusika na majukumu mbalimbali.

Waroma walipovamia na kutawala Ulaya, walikataza watu wasiabudu hiyo miungu kwa kigezo cha kuwa ni miungu ya wapagani. Waliwaua watu walioendelea kuabudu hiyo miungu hatimaye ulaya ikaanza kuamini miungu ya kiroma[Baba, Mwana na Roho Mt.] ambaye ndiyo chanzo cha ukristo.

Maeneo mengine kama India nako wana Miungu yao, China, Japani na Asia yote walikuwa na Miungu tofauti.
Mungu wa waarabu anaitwa Allah.
Hata wa-Afrika walikuwa na miungu yao ila walipokuja wakoloni waliwakataza wafrika wasiiabudu kwa kigezo kuwa ni mashetani.

Kwa ujumla kila jamii ya watu ilikuwa na Miungu yao, kama jamii fulani ilipigana na nyingine na kushinda vita, washindwa walifanywa watumwa na kulazimishwa kuabudu miungu ya washindi wa vita maana ndiyo yenye nguvu zaidi.

Watu ndio waliomuumba Mungu kwenye fikra zao na sii Mungu ndiye aliyeumba watu kama inavyoaminishwa leo.
Duh..umeelezea aina za miungu badala ya kutaja shahidi za uwepo hiyo miungu kwa jinsi ilivyoelezwa,kama huyo mungu wa vita n.k
 
Duh..umeelezea aina za miungu badala ya kutaja shahidi za uwepo hiyo miungu.
Hiyo miungu pamoja na huyo wa kwenu yote ni imaginary ideas.
Kiuhalisia haipo na iliyopo ni ya kutengenezwa na watu physically.....Hakuna solid evidences za kuwepo kwao.
 
Sababu zinazotolewa kama ushahidi wa uwepo wa Mungu ni za 'kitoto' sana!

Kitu kingine, siyo kwamba nina uhakika wa kutokuwepo kwa Mungu na ndio maana namkataa, si hivyo. Kama ushahidi wa kunishawishi kuwepo kwa Mungu au kama Mungu atajitokeza na kujidhihirisha kama anavyoaminiwa kuwa, basi mimi sintakuwa na tatizo kwenye kumwamini.

Kinacho nishangaza ni kuona watu wazima wakitoa sababu ambazo ni natural kabisa kama shahidi za kuwepo kwa Mungu ilihali hawana uhakika na uwepo wa Mungu.
Hapo sawa umekubali kuwa hauna uhakika ya kuwa hakuna mungu.

Je ni hoja gani unazosema ni za kitoto katika kutolea ushahidi uwepo wa mungu?
 
Hapo sawa umekubali kuwa hauna uhakika ya kuwa hakuna mungu.

Je ni hoja gani unazosema ni za kitoto katika kutolea ushahidi uwepo wa mungu?
Hili swali unauliza kwa mara ya ngapi hapa JF? hoja zozote zinazotolewa na kusemwa ni shahidi za uwepo wa Mungu ukizitathmini zinageuka kuwa za kitoto.

Kama unabisha leta hoja za uwepo wa Mungu halafu tuzichambue kwa fikra huru then tuone.
 
Hiyo miungu pamoja na huyo wa kwenu yote ni imaginary ideas.
Kiuhalisia haipo na iliyopo ni ya kutengenezwa na watu physically.....Hakuna solid evidences za kuwepo kwao.
We si ulisema kuwa hiyo miungu mengine upo ushahidi wa uwepo wao! na ndiyo maana ukaulizwa huo ushahidi wa uwepo wao,au hukuelewa?

Sasa ukianza kusema ni imaginary ideas tu unaonesha hujui ulichokiongea.
 
We si ulisema kuwa hiyo miungu mengine upo ushahidi wa uwepo wao! na ndiyo maana ukaulizwa huo ushahidi wa uwepo wao,au hukuelewa?

Sasa ukianza ni imaginary ideas tu unaonesha hujui ulichokiongea.
Hiyo miungu nadhani umeshindwa kuielewa.

Kufanya hii kesi iwe fupi, weka ushahidi wa uwepo wa Mungu unayemwamini ndipo tuendelee na mjadala. Tofauti na hapo ni kelele zako za siku zote zinazojulikana hapa jukwaani.
 
Hili swali unauliza kwa mara ya ngapi hapa JF? hoja zozote zinazotolewa na kusemwa ni shahidi za uwepo wa Mungu ukizitathmini zinageuka kuwa za kitoto.

Kama unabisha leta hoja za uwepo wa Mungu halafu tuzichambue kwa fikra huru then tuone.
We ndiyo umesema kuwa shahidi zinazosemwa ndiyo shahidi za uwepo wa mungu ni za kitoto,mi ndiyo nataka utaje hata moja na ueleze utoto wake ili tuchambue.
 
We ndiyo umesema kuwa shahidi zinazosemwa ndiyo shahidi za uwepo wa mungu ni za kitoto,mi ndiyo nataka utaje hata moja na ueleze utoto wake ili tuchambue.
Wewe ungetaja za kwako ili tuzijue maana kila mtu anazo shahidi zake.

Mf. kuna mtu[Padre] amewahi kusema Mungu yupo kwa sababu ndiye anayefungua madirisha ya Mbinguni then mvua inanyesha duniani.

Matokeo yake leo hii mvua zikikosekana watu huenda ibadani kumwomba Mungu awafungulie madirisha ya Mbinguni ili mvua inyeshe.

Hii inawajengea waumini picha kuwa huko Mbinguni Mungu anayo mabwawa ya kutosha na kama watu wakimwomba mvua, basi hufungulia mabwawa then mvua inanyesha.

Kwa mtu anayefahamu maana ya water cycle hahitaji kuambiwa kuwa hii ni hoja ya kitoto.
 
Hiyo miungu nadhani umeshindwa kuielewa.

Kufanya hii kesi iwe fupi, weka ushahidi wa uwepo wa Mungu unayemwamini ndipo tuendelee na mjadala. Tofauti na hapo ni kelele zako za siku zote zinazojulikana hapa jukwaani.
Tunajadili mambo mawili hapa mi na wewe,moja ni ushahidi wa uwepo wa mungu aliyeelezwa kwenye Qur'an na Biblia na lengine shahidi za uwepo wa miungu mengine nje ya Biblia na Qur'an.

Naona hili la shahidi za uwepo miungu mengine unalikwepa,kumbuka unasema unakataa uwepo wa mungu wa kwenye hivi vitabu kwa sababu hakuna ushahidi ila hiyo miungu mengine umesema ushahidi ipo,hivyo huwezi kusema ni imaginary idea halafu hapo hapo ukasema upo ushahidi wa uwepo wao.
 
Yeye kamshindwa shetani kamkimbizia kwetu sisi ndio tutamuweza, acha tuishi hivi hivi tu kwa kua hamna namna nyingine
 
Mungu hajawahi na hatowahi kujuta kwa kumuumba binadamu kasome vizuri maandiko kama una maana Mungu wa kweli.Mungu amesema ktk vitabu vitakatifu binadamu ni kiumbe dhaifu sana.Kumbuku haya maasi/dhambi hatumdhulumu M/Mungu ila tunajidhulumu wenyewe kwa sababu kuna hesabu kwa kila tulifanyalo
 
sio kweli mkuu, kama yeye ni muumbaji wa kila kitu na anajua yote yajayo (kwa mujibu wa vitabu)sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kuumba wakati haya yote aliyajua kabla?na kama ni muweza wa yote kwanini asizuie kabla na uwezo wa kuzuia alikuwa nao?take it from me Mungu yupo ila siyo huyo wa kwenye bible na quran ambaye anaumba viumbe yeye mwenyewe kisha anakasirika kwa kazi aliyoifanya mwenyewe?
Mkuu heshima kwako

Wameaminishwa ujinga hawezi kukuelewa
 
Wewe ungetaja za kwako ili tuzijue maana kila mtu anazo shahidi zake.

Mf. kuna mtu[Padre] amewahi kusema Mungu yupo kwa sababu ndiye anayefungua madirisha ya Mbinguni then mvua inanyesha duniani.

Matokeo yake leo hii mvua zikikosekana watu huenda ibadani kumwomba Mungu awafungulie madirisha ya Mbinguni ili mvua inyeshe.

Hii inawajengea waumini picha kuwa huko Mbinguni Mungu anayo mabwawa ya kutosha na kama watu wakimwomba mvua, basi hufungulia mabwawa then mvua inanyesha.

Kwa mtu anayefahamu maana ya water cycle hahitaji kuambiwa kuwa hii ni hoja ya kitoto.
Kwanza kabla ya yote unapaswa utambue kwamba hata ukipewa sababu za uwepo wa mungu ambazo utazikubali ila bado itabaki ya kuwa suala la mungu linahitaji imani.
 
Kwanza kabla ya yote unapaswa utambue kwamba hata ukipewa sababu za uwepo wa mungu ambazo utazikubali ila bado itabaki ya kuwa suala la mungu linahitaji imani.
Kwanini litahitaji imani?
 
Kwanini litahitaji imani?
Kwa kifupi ndiyo hivyo ilivyo,kwa hiyo wewe kutoamini uwepo wa mungu si kwamba umetumia akili au elimu kubwa kuamua kukataa uwepo wa mungu..maana hata zama za ujinga huko pia walikuwepo wenye kupinga mungu.
 
Back
Top Bottom