Mungu angekuomba ushauri katika hili.

Mungu angekuomba ushauri katika hili.

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,957
Naamini kila alichokiumba Mungu ni sahihi na kakiumba hivyo kwa sababu yake na Mungu hakufanya kosa hata kidogo, pamoja na ukweli huo bado wanadamu tumejifanya wajuaji, unakuta wadada wanajichubua kutoboa pua kana kwamba Mungu hakujua hapo wanapopatoboa panahitaji kutobolewa.

Turudi kwenye hoja ya msingi, mimi kama binadamu nina mapungufu yangu, si kuwa nampinga Mungu lakini am just curious, kuwa Mungu angekuomba ushauri juu ya mpangilio au munekano wa viungo vya mwanadamu, ungemshauri nini? Mimi ningeshauri tu sehemu ya siri ya mwanamke izibwe.
 
Back
Top Bottom