Mungu anijalie nipate mke humu JF

hahaa bebe wapi umeshaachwa.....chezea JF hahaa lazima uwe na moyo wenye sura kama ya kufuri za jela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo wapo waliooana humu? Siamini kama hilo jambo lipo
mkuu wapo humu watu wanatoka Kimya Kimya ...sio wote ambao wamefikia hatua ya ndoa ... but juzi kati kuna Dogo alileta Uzi wake humu akilalamika kuwa demu wake anamsumbua na huyo demu alikutana nae jf ..na walikuwa ktika process za ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…