Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
EwaaaaaSakayo yuko na mume tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EwaaaaaSakayo yuko na mume tayari
Usiwe mvivu kuzama pm Kama kwenda msalani blazaAsee we jamaa una mawazo kama yangu.
Na mimi ntampatia hapa hapa
Nakuletea bebi sema unataka kitu gani kitakachokufurahisha.Kumbee. Basi kama anatokea Zanzibar asisahauu ubuyu, samaki, perfumes atuletee zawadi
Na pesa beb usisahauNakuletea bebi sema unataka kitu gani kitakachokufurahisha.
Ka kiwanda kadogo ngoja tusubiri mirejesho wanaweza kutushawishi nasi tukaanza kung'amua macho ya kusaka mkeHahaaa mkuu mke mwema anatoka jf eh hahaaa au nako ni kiwanda cha kutengeneza wake?
Pesa naweza kukutumia.Na pesa beb usisahau
Yule wa jana cel nini sijui daby,bonny, iceman,samaritan, ivuga ebu ngoja nikumbuke wengine nitarudi
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]. Nasubiri unitumie. Tuma kwenye ile namba ya tigoPesa naweza kukutumia.
Unataka tu kunichafulia jina langu. Hao wengine siwatambui mfyuuuuuYule wa jana cel nini sijui daby,bonny, iceman,samaritan, ivuga ebu ngoja nikumbuke wengine nitarudi
Ina maana wanawake Wa jf Si ndivyo sivyo maeneo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani sio sealed?!!!
Hata umtaje na mzee wa ndagu simuachi.Yule wa jana cel nini sijui daby,bonny, iceman,samaritan, ivuga ebu ngoja nikumbuke wengine nitarudi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaan Davet naona ukiniona tu unajuwa kikatuni chako nimeingia halafu babe hivi we kimbau mbau me kibonge bonge la bibi nawaza tu hapa hivi utanibebaje na ninavyopenda kubebwa sasaHahah!! acha tu
Sikuharibiii ila naongea ukweli tu mmHahaha hapana usitake kuniharibia.
Kwakweli atuletee zawadi tuKumbee. Basi kama anatokea Zanzibar asisahauu ubuyu, samaki, perfumes atuletee zawadi
Au Dada ulimwambia upo single halafu inaonekana anakujua kuliko unavyojijuaEwaaaaa
We una wa kwako Genta mbona hatusemi?Sikuharibiii ila naongea ukweli tu mm
Nakupenda bureHata umtaje na mzee wa ndagu simuachi.
Ubuyu uwepo katika hivyo vituNakuletea bebi sema unataka kitu gani kitakachokufurahisha.
Sasa akiniacha atatuleteaje? Mfyuu<Kwakweli atuletee zawadi tu