Mungu asikia maombi ya wanandoa wa kimarekani na kuikoa nyumba yao dhidi janga la moto

MBYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
366
Reaction score
521
Hakika Mungu yupo kwa hili lililowatokea wanandoa wawili nchini marekani katika hili janga la Moto linaloendelea,walikuwa na dakika 30 pekee za kuokoa maisha yao lkn kwa maombi na sala Mungu aliwanusuru wao na nyumba yao

Your browser is not able to display this video.
 
Vyema sana.
Binadamu ipo siku mtalia na kusaga meno.
 
Hakika Mungu yupo kwa hili lililowatokea wanandoa wawili nchini marekani katika hili janga la Moto linaloendelea,walikuwa na dakika 30 pekee za kuokoa maisha yao lkn kwa maombi na sala Mungu aliwanusuru wao na nyumba yao


Your browser is not able to display this video.
 
Wanadamu waache kiburi chao cha kutokumtambua uwepo wa Mungu. Mtajuta na kusaga meno siku moja kwa ajili ya kiburi cha kukataa uwepo wa Mungu. Haingilii akilini mwngu kabisa watu kubisha uwepo wa Mungu wakati ni dhahiri uumbaji unadhihirisha uwepo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…