Pre GE2025 Mungu ataikumbuka tena Tanzania 2025, Watanzania wataamua kukiweka chama kipya madarakani

Pre GE2025 Mungu ataikumbuka tena Tanzania 2025, Watanzania wataamua kukiweka chama kipya madarakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Feb 13, 2024
Posts
80
Reaction score
204
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa.

Napenda kutoa ushauri kwa hicho chama kitakacho shika hatamu ya kuliongoza taifa hili, kwanza watambue taifa hili lilijengwa katika msingi wa ujamaa na kujitengemea lengo hapa sio ujamaa kwani kuna watu wakisikia ujamaa wanapata picha nyingine lengo ni kujitengemea, mnawajibu wa kuhakikisha mnajenga mazingira yatayowezesha taifa hili kujitengemea kwa kutumia rasilimali zilipo nchini.

Kamwe msipite njia ya watangulizi wenu waliokua wanapita kwani mtapotea na mwisho hamtafanya kitu bali marudio ya watangulizi wenu.

Hakikisheni miradi kama barabara, maji umeme ujenzi wa viwanja vya ndege mashule, hospital na zahanati na miradi mingine mingi mnatumia fedha za ndani na sio za mikopo, kodi mnazokusanya zinaweza kufanya vitu hivyo vyote kama serikali itakua na nia na malengo ya dhati kulisaidia taifa hili.

Kitu kingine mnachotakiwa kujua lazima muogope sana mikopo inayotia hasara taifa, ogopeni kuchukua mikopo kwa ajili ya kufund projects ambazo zinazoweza kugharamiwa na fedha za mapato yetu wenyewe, Kama matakopa hakikisheni hiyo fedha ni kwa ajili ya kufund miradi mikubwa yenye matokeo chanya kwa raia na taifa kwa ujumla

Kama mtachukua mkopo chukueni kwa ajili ya kufanya mapinduzi makubwa ya kilimo nchi hii bado ni ya kilimo na raia walio wengi bado wanategemea kilimo kama shuguli zao za kiuchumi, pia sector ya kilimo itachochea ukuaji wa viwanda na kusaidia kutatua tatizo la ajira kwa vijana wengi wa taifa hili, hii mada ya kilimo nitaitafutia Uzi wake mahana ina mambo mengi.

Jambo kingine kama mtachukua mkopo hakikisheni mnawekeza kwenye elimu ya ufundi, kilimo na Tehama hivi vitu vitatu mkavitilie mkazo kwani ndio vitakavyokuja kupaisha uchumi wa nchi hii

Kwa leo naomba nihishie hapa siku nyingine nitarudi tena na nasaha zangu kwa hawa watanzania wapya watakaopewa ridahaa ya kuiongoza Tanzania 2025.
 
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa.

Napenda kutoa ushauri kwa hicho chama kitakacho shika hatamu ya kuliongoza taifa hili, kwanza watambue taifa hili lilijengwa katika msingi wa ujamaa na kujitengemea lengo hapa sio ujamaa kwani kuna watu wakisikia ujamaa wanapata picha nyingine lengo ni kujitengemea, mnawajibu wa kuhakikisha mnajenga mazingira yatayowezesha taifa hili kujitengemea kwa kutumia rasilimali zilipo nchini.

Kamwe msipite njia ya watangulizi wenu waliokua wanapita kwani mtapotea na mwisho hamtafanya kitu bali marudio ya watangulizi wenu.

Hakikisheni miradi kama barabara, maji umeme ujenzi wa viwanja vya ndege mashule, hospital na zahanati na miradi mingine mingi mnatumia fedha za ndani na sio za mikopo, kodi mnazokusanya zinaweza kufanya vitu hivyo vyote kama serikali itakua na nia na malengo ya dhati kulisaidia taifa hili.

Kitu kingine mnachotakiwa kujua lazima muogope sana mikopo inayotia hasara taifa, ogopeni kuchukua mikopo kwa ajili ya kufund projects ambazo zinazoweza kugharamiwa na fedha za mapato yetu wenyewe, Kama matakopa hakikisheni hiyo fedha ni kwa ajili ya kufund miradi mikubwa yenye matokeo chanya kwa raia na taifa kwa ujumla

Kama mtachukua mkopo chukueni kwa ajili ya kufanya mapinduzi makubwa ya kilimo nchi hii bado ni ya kilimo na raia walio wengi bado wanategemea kilimo kama shuguli zao za kiuchumi, pia sector ya kilimo itachochea ukuaji wa viwanda na kusaidia kutatua tatizo la ajira kwa vijana wengi wa taifa hili, hii mada ya kilimo nitaitafutia Uzi wake mahana ina mambo mengi.

Jambo kingine kama mtachukua mkopo hakikisheni mnawekeza kwenye elimu ya ufundi, kilimo na Tehama hivi vitu vitatu mkavitilie mkazo kwani ndio vitakavyokuja kupaisha uchumi wa nchi hii

Kwa leo naomba nihishie hapa siku nyingine nitarudi tena na nasaha zangu kwa hawa watanzania wapya watakaopewa ridahaa ya kuiongoza Tanzania 2025.
Kwani Dola ishatoa baraka kwa chama kingine kushika hatamu!!?

Tunajua Kwa miaka mingi ccm ndio ilipewa baraka hizo!sasa The state imeamua kukipa chama kingine kijaribu bahati yake!!?

Je ni Umoja party au ACT ya zito kabwe!!?

Au NCCR MAGEUZI YA DAVID KAFULILA AMBAYE AMEKUA VOCAL SANA KWA SIKU ZA KARIBUNI!!?
 
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa.

Napenda kutoa ushauri kwa hicho chama kitakacho shika hatamu ya kuliongoza taifa hili, kwanza watambue taifa hili lilijengwa katika msingi wa ujamaa na kujitengemea lengo hapa sio ujamaa kwani kuna watu wakisikia ujamaa wanapata picha nyingine lengo ni kujitengemea, mnawajibu wa kuhakikisha mnajenga mazingira yatayowezesha taifa hili kujitengemea kwa kutumia rasilimali zilipo nchini.

Kamwe msipite njia ya watangulizi wenu waliokua wanapita kwani mtapotea na mwisho hamtafanya kitu bali marudio ya watangulizi wenu.

Hakikisheni miradi kama barabara, maji umeme ujenzi wa viwanja vya ndege mashule, hospital na zahanati na miradi mingine mingi mnatumia fedha za ndani na sio za mikopo, kodi mnazokusanya zinaweza kufanya vitu hivyo vyote kama serikali itakua na nia na malengo ya dhati kulisaidia taifa hili.

Kitu kingine mnachotakiwa kujua lazima muogope sana mikopo inayotia hasara taifa, ogopeni kuchukua mikopo kwa ajili ya kufund projects ambazo zinazoweza kugharamiwa na fedha za mapato yetu wenyewe, Kama matakopa hakikisheni hiyo fedha ni kwa ajili ya kufund miradi mikubwa yenye matokeo chanya kwa raia na taifa kwa ujumla

Kama mtachukua mkopo chukueni kwa ajili ya kufanya mapinduzi makubwa ya kilimo nchi hii bado ni ya kilimo na raia walio wengi bado wanategemea kilimo kama shuguli zao za kiuchumi, pia sector ya kilimo itachochea ukuaji wa viwanda na kusaidia kutatua tatizo la ajira kwa vijana wengi wa taifa hili, hii mada ya kilimo nitaitafutia Uzi wake mahana ina mambo mengi.

Jambo kingine kama mtachukua mkopo hakikisheni mnawekeza kwenye elimu ya ufundi, kilimo na Tehama hivi vitu vitatu mkavitilie mkazo kwani ndio vitakavyokuja kupaisha uchumi wa nchi hii

Kwa leo naomba nihishie hapa siku nyingine nitarudi tena na nasaha zangu kwa hawa watanzania wapya watakaopewa ridahaa ya kuiongoza Tanzania 2025.
CHADEMA tumaini letu
 
Kwani Dola ishatoa baraka kwa chama kingine kushika hatamu!!?

Tunajua Kwa miaka mingi ccm ndio ilipewa baraka hizo!sasa The state imeamua kukipa chama kingine kijaribu bahati yake!!?

Je ni Umoja party au ACT ya zito kabwe!!?

Au NCCR MAGEUZI YA DAVID KAFULILA AMBAYE AMEKUA VOCAL SANA KWA SIKU ZA KARIBUNI!!?
Umoja Party sijawahi kukisikia ni Chama kipya Sheikh?
 
Kwa mwendo huu wakugomea kujiandikisha tusitegemee Mapya kwenye siasa zetu. Chama kipya afu hakuna wapiga kura wenye sifa? Jukumu lakuhamasisha watu kujiandikisha limeachwa kwa serikali na CCM badala ya vyama vyote kushiriki. Hena ndima!
 
Umeisahau Chadema ??!
Au huipendi tu ??!
Kwani ni Dola au ni Kura tu zikitosha ??!
😳 !
Kwani Dola ishatoa baraka kwa chama kingine kushika hatamu!!?

Tunajua Kwa miaka mingi ccm ndio ilipewa baraka hizo!sasa The state imeamua kukipa chama kingine kijaribu bahati yake!!?

Je ni Umoja party au ACT ya zito kabwe!!?

Au NCCR MAGEUZI YA DAVID KAFULILA AMBAYE AMEKUA VOCAL SANA KWA SIKU ZA KARIBUNI!!?
 
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa.

Napenda kutoa ushauri kwa hicho chama kitakacho shika hatamu ya kuliongoza taifa hili, kwanza watambue taifa hili lilijengwa katika msingi wa ujamaa na kujitengemea lengo hapa sio ujamaa kwani kuna watu wakisikia ujamaa wanapata picha nyingine lengo ni kujitengemea, mnawajibu wa kuhakikisha mnajenga mazingira yatayowezesha taifa hili kujitengemea kwa kutumia rasilimali zilipo nchini.

Kamwe msipite njia ya watangulizi wenu waliokua wanapita kwani mtapotea na mwisho hamtafanya kitu bali marudio ya watangulizi wenu.

Hakikisheni miradi kama barabara, maji umeme ujenzi wa viwanja vya ndege mashule, hospital na zahanati na miradi mingine mingi mnatumia fedha za ndani na sio za mikopo, kodi mnazokusanya zinaweza kufanya vitu hivyo vyote kama serikali itakua na nia na malengo ya dhati kulisaidia taifa hili.

Kitu kingine mnachotakiwa kujua lazima muogope sana mikopo inayotia hasara taifa, ogopeni kuchukua mikopo kwa ajili ya kufund projects ambazo zinazoweza kugharamiwa na fedha za mapato yetu wenyewe, Kama matakopa hakikisheni hiyo fedha ni kwa ajili ya kufund miradi mikubwa yenye matokeo chanya kwa raia na taifa kwa ujumla

Kama mtachukua mkopo chukueni kwa ajili ya kufanya mapinduzi makubwa ya kilimo nchi hii bado ni ya kilimo na raia walio wengi bado wanategemea kilimo kama shuguli zao za kiuchumi, pia sector ya kilimo itachochea ukuaji wa viwanda na kusaidia kutatua tatizo la ajira kwa vijana wengi wa taifa hili, hii mada ya kilimo nitaitafutia Uzi wake mahana ina mambo mengi.

Jambo kingine kama mtachukua mkopo hakikisheni mnawekeza kwenye elimu ya ufundi, kilimo na Tehama hivi vitu vitatu mkavitilie mkazo kwani ndio vitakavyokuja kupaisha uchumi wa nchi hii

Kwa leo naomba nihishie hapa siku nyingine nitarudi tena na nasaha zangu kwa hawa watanzania wapya watakaopewa ridahaa ya kuiongoza Tanzania 2025.
Umekula maharage ya wapi buda
 
Umeisahau Chadema ??!
Au huipendi tu ??!
Kwani ni Dola au ni Kura tu zikitosha ??!
😳 !
Chadema ni ngumu kupewa!
Japo itatoa wengi kwenye Baraza lijalo la mawaziri kama hayo yakitokea!!

Chadema imeshaandaliwa kifo na imeingia mkenge wa kifo hicho!inawezekana chama hicho kipya kikabeba masalia meengi ya chadema na ccm ili kuunda serikali!
 
Chadema ni ngumu kupewa!
Japo itatoa wengi kwenye Baraza lijalo la mawaziri kama hayo yakitokea!!

Chadema imeshaandaliwa kifo na imeingia mkenge wa kifo hicho!inawezekana chama hicho kipya kikabeba masalia meengi ya chadema na ccm ili kuunda serikali!
Ngoja Tusubiri tuone !
 
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa.

Napenda kutoa ushauri kwa hicho chama kitakacho shika hatamu ya kuliongoza taifa hili, kwanza watambue taifa hili lilijengwa katika msingi wa ujamaa na kujitengemea lengo hapa sio ujamaa kwani kuna watu wakisikia ujamaa wanapata picha nyingine lengo ni kujitengemea, mnawajibu wa kuhakikisha mnajenga mazingira yatayowezesha taifa hili kujitengemea kwa kutumia rasilimali zilipo nchini.

Kamwe msipite njia ya watangulizi wenu waliokua wanapita kwani mtapotea na mwisho hamtafanya kitu bali marudio ya watangulizi wenu.

Hakikisheni miradi kama barabara, maji umeme ujenzi wa viwanja vya ndege mashule, hospital na zahanati na miradi mingine mingi mnatumia fedha za ndani na sio za mikopo, kodi mnazokusanya zinaweza kufanya vitu hivyo vyote kama serikali itakua na nia na malengo ya dhati kulisaidia taifa hili.

Kitu kingine mnachotakiwa kujua lazima muogope sana mikopo inayotia hasara taifa, ogopeni kuchukua mikopo kwa ajili ya kufund projects ambazo zinazoweza kugharamiwa na fedha za mapato yetu wenyewe, Kama matakopa hakikisheni hiyo fedha ni kwa ajili ya kufund miradi mikubwa yenye matokeo chanya kwa raia na taifa kwa ujumla

Kama mtachukua mkopo chukueni kwa ajili ya kufanya mapinduzi makubwa ya kilimo nchi hii bado ni ya kilimo na raia walio wengi bado wanategemea kilimo kama shuguli zao za kiuchumi, pia sector ya kilimo itachochea ukuaji wa viwanda na kusaidia kutatua tatizo la ajira kwa vijana wengi wa taifa hili, hii mada ya kilimo nitaitafutia Uzi wake mahana ina mambo mengi.

Jambo kingine kama mtachukua mkopo hakikisheni mnawekeza kwenye elimu ya ufundi, kilimo na Tehama hivi vitu vitatu mkavitilie mkazo kwani ndio vitakavyokuja kupaisha uchumi wa nchi hii

Kwa leo naomba nihishie hapa siku nyingine nitarudi tena na nasaha zangu kwa hawa watanzania wapya watakaopewa ridahaa ya kuiongoza Tanzania 2025.
Ujinga wa kiafrica kudhani chama cha siasa kitabadili maisha yetu bila kujua vyama hivi vina watu wanao saka maisha kama mm na wewe.
Pia baadhi ya vyama ni matawi ya vyama tawala.
Maisha yata badilika endapo kila mtu atajua kudai haki yake iwe kwa jasho au kwa damu.
 
Binafsi ningependa kuona chama kingine kikishika dola..mana hakuna chama kisicho na watanzania, hivyo uoga hakuna..pia serikali ina mfumo nje ya siasa, hivyo yeyote awae Rais hata kama sio ccm atapata wa kufanya nao kazi hata wale waliokuwa hawajulikani. Mhimu ni kuwa kubadirisha chama sio kubadirisha nchi ila ni kutaka kuona kipya kwa ambao walikuwa bench..hata kwenye mpira kocha akimuingiza sub huwa ana mategemeo kuwa mchezo kausoma vema..na haimanishi yule anayetoka ni mbaya hapana, ila ni kutaka kuona huyu sub anaweza fanya vema zaidi? Asipofanya vema zaidi inabidi mechi ijayo yule wa awali aanze tena..ni ivyo tu lakini kuendelea kung'ang'ania mchezaji (chama) ilihali anacheza kwa mazoea si jambo zuri kwa kocha(wananchi)..sisi wananchi..wachezaji wote ni wetu na ni watanzania wenzetu mhimu tu wawe na maadili mazuri na pia wanazingatia uzalendo. Nasema ivi hata kama ni Rais atoke ccm basi awe na element za upya na umageuzi kiasi kwamba hata wanaccm wenzake Waone kama sio mwenzao vile.
 
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa
Uchaguzi serikali za mitaa/uandikishaji: Mawakala mji wa Dodoma: Vituo 666: Mawakala CHADEMA- vituo 55, CCM- Vituo 666.
Mmmmmmm, kutapatikana chama kingine hapo.
 
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa.

Napenda kutoa ushauri kwa hicho chama kitakacho shika hatamu ya kuliongoza taifa hili, kwanza watambue taifa hili lilijengwa katika msingi wa ujamaa na kujitengemea lengo hapa sio ujamaa kwani kuna watu wakisikia ujamaa wanapata picha nyingine lengo ni kujitengemea, mnawajibu wa kuhakikisha mnajenga mazingira yatayowezesha taifa hili kujitengemea kwa kutumia rasilimali zilipo nchini.

Kamwe msipite njia ya watangulizi wenu waliokua wanapita kwani mtapotea na mwisho hamtafanya kitu bali marudio ya watangulizi wenu.

Hakikisheni miradi kama barabara, maji umeme ujenzi wa viwanja vya ndege mashule, hospital na zahanati na miradi mingine mingi mnatumia fedha za ndani na sio za mikopo, kodi mnazokusanya zinaweza kufanya vitu hivyo vyote kama serikali itakua na nia na malengo ya dhati kulisaidia taifa hili.

Kitu kingine mnachotakiwa kujua lazima muogope sana mikopo inayotia hasara taifa, ogopeni kuchukua mikopo kwa ajili ya kufund projects ambazo zinazoweza kugharamiwa na fedha za mapato yetu wenyewe, Kama matakopa hakikisheni hiyo fedha ni kwa ajili ya kufund miradi mikubwa yenye matokeo chanya kwa raia na taifa kwa ujumla

Kama mtachukua mkopo chukueni kwa ajili ya kufanya mapinduzi makubwa ya kilimo nchi hii bado ni ya kilimo na raia walio wengi bado wanategemea kilimo kama shuguli zao za kiuchumi, pia sector ya kilimo itachochea ukuaji wa viwanda na kusaidia kutatua tatizo la ajira kwa vijana wengi wa taifa hili, hii mada ya kilimo nitaitafutia Uzi wake mahana ina mambo mengi.

Jambo kingine kama mtachukua mkopo hakikisheni mnawekeza kwenye elimu ya ufundi, kilimo na Tehama hivi vitu vitatu mkavitilie mkazo kwani ndio vitakavyokuja kupaisha uchumi wa nchi hii

Kwa leo naomba nihishie hapa siku nyingine nitarudi tena na nasaha zangu kwa hawa watanzania wapya watakaopewa ridahaa ya kuiongoza Tanzania 2025.
Hizo ndoto nyingine hizi !!! ila acha uendelee kuota
 
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.

Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini makubwa kwa watanzania, kwani bahada ya utawala wa muda mrefu wa hiki chama watanzania watahamua kukiweka kando na chama kipya na serikali mpya itashika hatamu ya kuliongoza taifa hili lenye historia kubwa katika bara hili la Africa.

Napenda kutoa ushauri kwa hicho chama kitakacho shika hatamu ya kuliongoza taifa hili, kwanza watambue taifa hili lilijengwa katika msingi wa ujamaa na kujitengemea lengo hapa sio ujamaa kwani kuna watu wakisikia ujamaa wanapata picha nyingine lengo ni kujitengemea, mnawajibu wa kuhakikisha mnajenga mazingira yatayowezesha taifa hili kujitengemea kwa kutumia rasilimali zilipo nchini.

Kamwe msipite njia ya watangulizi wenu waliokua wanapita kwani mtapotea na mwisho hamtafanya kitu bali marudio ya watangulizi wenu.

Hakikisheni miradi kama barabara, maji umeme ujenzi wa viwanja vya ndege mashule, hospital na zahanati na miradi mingine mingi mnatumia fedha za ndani na sio za mikopo, kodi mnazokusanya zinaweza kufanya vitu hivyo vyote kama serikali itakua na nia na malengo ya dhati kulisaidia taifa hili.

Kitu kingine mnachotakiwa kujua lazima muogope sana mikopo inayotia hasara taifa, ogopeni kuchukua mikopo kwa ajili ya kufund projects ambazo zinazoweza kugharamiwa na fedha za mapato yetu wenyewe, Kama matakopa hakikisheni hiyo fedha ni kwa ajili ya kufund miradi mikubwa yenye matokeo chanya kwa raia na taifa kwa ujumla

Kama mtachukua mkopo chukueni kwa ajili ya kufanya mapinduzi makubwa ya kilimo nchi hii bado ni ya kilimo na raia walio wengi bado wanategemea kilimo kama shuguli zao za kiuchumi, pia sector ya kilimo itachochea ukuaji wa viwanda na kusaidia kutatua tatizo la ajira kwa vijana wengi wa taifa hili, hii mada ya kilimo nitaitafutia Uzi wake mahana ina mambo mengi.

Jambo kingine kama mtachukua mkopo hakikisheni mnawekeza kwenye elimu ya ufundi, kilimo na Tehama hivi vitu vitatu mkavitilie mkazo kwani ndio vitakavyokuja kupaisha uchumi wa nchi hii

Kwa leo naomba nihishie hapa siku nyingine nitarudi tena na nasaha zangu kwa hawa watanzania wapya watakaopewa ridahaa ya kuiongoza Tanzania 2025.
Ni boratutaachana na waishi maisha ya ndotoni.
 
Matawi ya ccm ndio wapewe nchi? Mbowe, Zitto, Slaa wote ni ccm

Labda ccm wagawanyike na na dola iwape nchi wapinzani kwa nguvu!!!
 
Back
Top Bottom