United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Kwahyo ata wanao wakike wakiwa na sura nzur utawalala tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee!Nilipokuwa na miaka 19 nilikuwa natamani sana urafiki wa kimapenzi na shangazi yangu (Dada wa Baba). Shangazi yangu ni mwanamke mzuri sana. yaani saana
Alikuwa na miaka 36 wakati huo. ndugu zangu hii si tovuti ya hadithi za ngono kwa hivyo sitaweza kusimulia hadithi nzima hapa. Lakini kwa kifupi nilifanikiwa kumtongoza baada ya kujaribu mara kwa mara na tulikuwa na wakati mzuri sana katika maisha yetu!
Hivi Sasa tuna watoto 2 (wasichana) na kila kitu kiko sawa.
hamna kinacho mshangaza shetani hapo. Kumbuka shetani kashuhudia ndoa ya Ibrahim na dada ake(sarah), kashuhudia ndoa za watawala wa kimisiri walio kuwa wanaoana ndugu wa tumbo moja, kashuhudia watoto wa lutu wakizaa na dingi yao, nkMambo mengine hata shetani anajiuliza yanawezekana vipi
Kijana kaamua kuchangamsha jukwaa tu tusahau yaliyotokea huko Mwanza kabla hata ya mazishiChai na maharage yake yakisaidiwa na maandaazi matano hapa supu siion,nahisi hata hiyo chai yenyewe ulikopa
Nonsense! Rabbit! Idiot! Mmoja
Kwa hiyo fresh tu kazi iendelee?hamna kinacho mshangaza shetani hapo. Kumbuka shetani kashuhudia ndoa ya Ibrahim na dada ake(sarah), kashuhudia ndoa za watawala wa kimisiri walio kuwa wanaoana ndugu wa tumbo moja, kashuhudia watoto wa lutu wakizaa na dingi yao, nk
Hapo shetan anaona ata nusu ya aliyoyashuhudia bado hatujayafikia
mm sijahalalisha nilikuwa na toa tu mfano wa shetan kutokushangaa.Kwa hiyo fresh tu kazi iendelee?
Vitu vingine haviwezekani, haya uliyoyaandika hayata wezekana kwasababu ya magepu ya miakaKwa hiyo watoto wako wanamuita baba yako BABU, na wakati huohuo, huyo shangazi yako watoto wake (ambao ndiyo watoto wako) wanamuita baba yako MJOMBA..!!! na hivyo kupelekea wamwite mama yako SHANGAZI..!! Na wakiwa na akili kama yako wazae na shangazi yao (Mama yako) kama ulivyofanya wewe, halafu shangazi yao huyo, (ambaye ni mama yako) azae watoto ambao watakuwa ni wadogo zako.!! na huku wakitakiwa wakuite babu...!!
WE MUNGU HAKUSAMEHI
Unazungumzia kizazi hiki cha mishangazi!? Na mianko na wajomba!?Vitu vingine haviwezekani, haya uliyoyaandika hayata wezekana kwasababu ya magepu ya miaka
Kwamba niliyoandika nichai, itabidi niku invite uje ututembeleeMnisamehe kwa kuchelewesha vitafunwa!View attachment 2246822