cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
saizi huwezi kujua nani guilty na nani yuko clean,katika vita hii ambayo inahusisha watu wa kada mbali mbali inaweza ikabadili uso mzima hata wa siasa za bongo
kwenye zike Movie za Mafian watu waliokua wanajifanya clean na kususpect wenzao ndio waliokua wana deal na akina Don Corleone (Gang leader) ili wajisafishe machoni kwa watu.
na wale true dealers walikua so clean kwa jamii kama malaika hadi wengine wakawa wanapata cerificate kutoka vatican za kuwa watu safi kumbe uozo mtupu.
Vita hii iliwasumbua sana Italia mpaka leo na mpaka sasa nasikia Italian mobs wanaendelea na issue zao USA kama kawa
Mungu atuongoze katika tiba ya Donda dugu hili tulilo kua nalo toka utotoni na sasa tumeamua kuligusa gusa kwa kujaribu kutafutia mti shamba wa kulitibu.
Tanzania Bila madawa inawezekana?
kwenye zike Movie za Mafian watu waliokua wanajifanya clean na kususpect wenzao ndio waliokua wana deal na akina Don Corleone (Gang leader) ili wajisafishe machoni kwa watu.
na wale true dealers walikua so clean kwa jamii kama malaika hadi wengine wakawa wanapata cerificate kutoka vatican za kuwa watu safi kumbe uozo mtupu.
Vita hii iliwasumbua sana Italia mpaka leo na mpaka sasa nasikia Italian mobs wanaendelea na issue zao USA kama kawa
Mungu atuongoze katika tiba ya Donda dugu hili tulilo kua nalo toka utotoni na sasa tumeamua kuligusa gusa kwa kujaribu kutafutia mti shamba wa kulitibu.
Tanzania Bila madawa inawezekana?