Tulianza maisha kwa kuzaliwa. Tukajazwa hadith juu Wema wa mungu na uovu wa shetani. Habari wanazotuambia zimechukuliwa katika vitabu vya watu wa kale. Kila mmoja na wakati wake na wengine wakawa na ushawishi mkubwa kushinda wengine.
Vitabu hivyo pia viliandikwa na wanadamu ambao walizaliwa, wakawa watu wazima na wakaendesha harakati zao. Ukitafuta chanzo cha habari hizo utaambiwa zimetoka kwa Mungu ambaye amewafunulia manabii wake.
Ugomvi kati ya Mungu na Shetani wote watukuwepo na kwanini waligombana tunapata visa ambavyo chanzo chake ni Mungu. Japo hadithi ziko nyingi lakini hukubalina kwamba Shetani aliasi.
Yaani kama uko na wife akamegwa na washikaji na mwisho akaamua na nyumba kuhama. Ukitaka kusulihisha kesi kama hiyo lazima upate nafasi ya kusikiliza pande zote mbili.
Ukisikia upande wa mume pekee au ukisiliza upande wa mke pekee utapata picha isiyosahihi juu ya tukio husika.
Ugomvi wa Mungu na Shetani hautuhusu maana hatukuwepo. Walichofanya mafahari hawa wawili ni kutuweka katika mabano.
Shetani kushoto Mungu kulia. Najua wengi mtachagua upande wa kulia kwa sababu Tunajipendekeza kwa Mungu lakini bila kushoto kulia sio chochote.
Messi ni Mchezaji, Lakini angekosa mguu mmoja uwe wa kulia au kushoto basi maisha yake yangekuwa ni ngoto flani tu ambayo isinge timia
Wametuweka kati, Ugomvi wao usiotuhusu unaadhiri kila hatua ya maisha yetu. Labda Tungepata na manabii wa Shetani watupa kisa cha ugomvi wao katika mtizamo wa Shetani Ingekuwa vizuri sana. Labda Shetani anazosababu za msingi za kutotafuta muafaka na kuyamaliza kwa Amani.
Ikiwezekana manabii wa Mungu na manabii wa shetani wafanye maombi ya pamoja ili Tuwaite wababe hawa wawili katika meza ya Majadiliano. Yaishe kwa Amani. Unaujua moto au unausikia?
Huyu Satani anatumaini gani mpaka asiogope minyoro na Kuishi motoni milele maana imeandikwa mauti yatawazunguuka watu wa motoni kutoka kila upande lakini hawafi wala hawawi hai (Quran) Kwenye moto wa milele ambao funza wake wawafi wala hawasiinzi (Biblia)
Tumaini La shetani liko wapi? Kwanini hajatetereka katika msimamo wake mbali na ahadi kede kede za kuangamizwa.
Ukweli unaweza kuwa kinyume kabisa. Mfano hai, Wengi hatutoi nyuma kwasababu Mungu amekatakaza. Lakini waliotoa wamegoma kuacha hako kamchezo.
Mbele kwa mbele hayo ni mambo ya mungu na kuliwa kiboga, vimichezo vya Sodoma Gomora ni mambo ya Shetani, Au sio wadau? Mbona hawaachi haka kamchezo? Utamu hadi kisogoni? Ka utamu gani hako?
Labda hata Jehannam ni changa la macho. Au sema mazigaziga. Kwanini Tunamhukumu Shetani wakati hatujui tumaini lake?
NB: Atayetuchoma ni Mungu na malaika wake wala sii shetani. Mungu hana Democrasia. Hashauriki. Mpango wake wa kuchoma wanadamu na Mashetani uko pale pale. Just kama kuna manabii wa Shetani Tunataka hadithi yao ili Tuwe na ufahamu maana Mungu na Shetani wametuweka katika mabano.
Vitabu hivyo pia viliandikwa na wanadamu ambao walizaliwa, wakawa watu wazima na wakaendesha harakati zao. Ukitafuta chanzo cha habari hizo utaambiwa zimetoka kwa Mungu ambaye amewafunulia manabii wake.
Ugomvi kati ya Mungu na Shetani wote watukuwepo na kwanini waligombana tunapata visa ambavyo chanzo chake ni Mungu. Japo hadithi ziko nyingi lakini hukubalina kwamba Shetani aliasi.
Yaani kama uko na wife akamegwa na washikaji na mwisho akaamua na nyumba kuhama. Ukitaka kusulihisha kesi kama hiyo lazima upate nafasi ya kusikiliza pande zote mbili.
Ukisikia upande wa mume pekee au ukisiliza upande wa mke pekee utapata picha isiyosahihi juu ya tukio husika.
Ugomvi wa Mungu na Shetani hautuhusu maana hatukuwepo. Walichofanya mafahari hawa wawili ni kutuweka katika mabano.
Shetani kushoto Mungu kulia. Najua wengi mtachagua upande wa kulia kwa sababu Tunajipendekeza kwa Mungu lakini bila kushoto kulia sio chochote.
Messi ni Mchezaji, Lakini angekosa mguu mmoja uwe wa kulia au kushoto basi maisha yake yangekuwa ni ngoto flani tu ambayo isinge timia
Wametuweka kati, Ugomvi wao usiotuhusu unaadhiri kila hatua ya maisha yetu. Labda Tungepata na manabii wa Shetani watupa kisa cha ugomvi wao katika mtizamo wa Shetani Ingekuwa vizuri sana. Labda Shetani anazosababu za msingi za kutotafuta muafaka na kuyamaliza kwa Amani.
Ikiwezekana manabii wa Mungu na manabii wa shetani wafanye maombi ya pamoja ili Tuwaite wababe hawa wawili katika meza ya Majadiliano. Yaishe kwa Amani. Unaujua moto au unausikia?
Huyu Satani anatumaini gani mpaka asiogope minyoro na Kuishi motoni milele maana imeandikwa mauti yatawazunguuka watu wa motoni kutoka kila upande lakini hawafi wala hawawi hai (Quran) Kwenye moto wa milele ambao funza wake wawafi wala hawasiinzi (Biblia)
Tumaini La shetani liko wapi? Kwanini hajatetereka katika msimamo wake mbali na ahadi kede kede za kuangamizwa.
Ukweli unaweza kuwa kinyume kabisa. Mfano hai, Wengi hatutoi nyuma kwasababu Mungu amekatakaza. Lakini waliotoa wamegoma kuacha hako kamchezo.
Mbele kwa mbele hayo ni mambo ya mungu na kuliwa kiboga, vimichezo vya Sodoma Gomora ni mambo ya Shetani, Au sio wadau? Mbona hawaachi haka kamchezo? Utamu hadi kisogoni? Ka utamu gani hako?
Labda hata Jehannam ni changa la macho. Au sema mazigaziga. Kwanini Tunamhukumu Shetani wakati hatujui tumaini lake?
NB: Atayetuchoma ni Mungu na malaika wake wala sii shetani. Mungu hana Democrasia. Hashauriki. Mpango wake wa kuchoma wanadamu na Mashetani uko pale pale. Just kama kuna manabii wa Shetani Tunataka hadithi yao ili Tuwe na ufahamu maana Mungu na Shetani wametuweka katika mabano.