Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wewe sikutaki ng'oo kwa sababu chura haipo!![emoji23] [emoji23] [emoji23] We wangu tu huo wimbo wa chura utauacha soon
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sikutaki ng'oo kwa sababu chura haipo!![emoji23] [emoji23] [emoji23] We wangu tu huo wimbo wa chura utauacha soon
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Wewe sikutaki ng'oo kwa sababu chura haipo!!
M meet ur requirement can u share any inf with uHabari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.
Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu hii imenitia moyo sana na kuona kumbe inawezekana.
Last year nilikuja na uzi wa kutafuta mwenza ila sikuweza fanikiwa na sina wa kumlaumu katika hili
Umri wangu kwasasa ni 28
Ni mkristo
Hitaji langu ni kumpata mwenza alie smart in and out
Sichagui rangi, urefu sijui ufupi ila uwe tu smart sababu naamini mume ni zaidi ya physical appearance
Umri usiwe chini ya 30
Na ni vizuri ukiwa ni mkristo
Mambo mengine ya msingi tutafahamishana pm
Karibuni!
Pictures please.Habari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.
Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu hii imenitia moyo sana na kuona kumbe inawezekana.
Last year nilikuja na uzi wa kutafuta mwenza ila sikuweza fanikiwa na sina wa kumlaumu katika hili
Umri wangu kwasasa ni 28
Ni mkristo
Hitaji langu ni kumpata mwenza alie smart in and out
Sichagui rangi, urefu sijui ufupi ila uwe tu smart sababu naamini mume ni zaidi ya physical appearance
Umri usiwe chini ya 30
Na ni vizuri ukiwa ni mkristo
Mambo mengine ya msingi tutafahamishana pm
Karibuni!
Hahahahah hata sikumpata.Mlishafunga ndoano?
Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile App
Anataka mume au Mungu, mbona una mchanganya mwenzio!MUNGU akutane na haja za moyo wako
Khaaa!Weka na picha mama...hayo mambo ya kuja pm bila kuona picha unajikuta umemtongoza shangazi yako bure
Kama hujaoa changamkia fursa hii mkuu huwezi juaMiongoni mwa wasichana walioweza kutumia akili na busara katika kutafuta wenza humu jf we ni number one. Mungu atakupa hitaji la moyo wako dr, hakika umekomaa sana kiakili nimekupenda.
Khaaa!
Ulivyoweka msisitizoNn sasa?