Mungu fundi kuna visichana vina sura nzuri jamani

Mungu fundi kuna visichana vina sura nzuri jamani

Aman iwe nanyi wakuu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Aisee kwa kweli Mungu ni fundi mazee kuna watu wana sura tamu sana mazee

Unaweza hata kulala miaka yote ukiwa unamuwaza yeye endapo utabahatika kuwaona

Kuna msichana leo nimekutana naye aisee kaniacha hoi sana sema tu nilikuwa kwenye gar alteza afu kwenye jam hivyo sikupata mda wa kupak na kumfatilia

Acha tu aiseeView attachment 669319
mbn manzii wa kawaida sana
 
Back
Top Bottom