mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,162
- 3,088
Habari wana jamvi!
angalizo! ninamatatizo kidogo na lugha lakini naamini nitajitahidi nipate kueleweka vizuri.
kumekuwa na michango mingi jamvini ambayo ilikuwa ikihitaji kujua nini chanzo cha mema na mabaya, wengine wakilaumu kwanini Mungu aliruhusu mema na mabaya. nimejaribu kufanya utafiti na kuchanganya na akili yangu na kuwashilikisha jambo.
Tuanze Kwa kifikilia jambo moja, Unaweza ukaamua kupima joto na kiwango cha joto kikapanda na kushuka mpaka kufikia degree sifuri, sasa matokeo ya kupima joto yanaweza yakawa ni baridi au joto, watu wengi wanaamini kuwa baridi ni kinyume cha joto, na pia wanaamini ili kukamilisha mfumo wa upatikanaji wa joto na baridi ni lazima pawe na chanzo au uumbwaji wa joto Kwa pamoja. Vivyo hivyo watu wanafikiria sawa kuhusiana na mema na mabaya na pia nuru na Giza.
Naomba tujaribu kufikili zaidi, je aliyeumba joto alikuwa anaulazimu wa kuumba na baridi? baridi ni kinyume cha joto au baridi ni matokeo ya kukosekana Kwa joto? vivyo hivyo kwenye mema na mabaya tujiulize maswali haya.
Mungu alisema na iwe nuru na ikawa nuru, kitabu hakikuonyesha kwamba Mungu aliumba giza na Giza lipo, hivyo Giza ni kama matokeo ya kukosekana Kwa mwanga.
Tujaribu kufikili kivingine, unapompeleka mtoto wako shuleni uwe na uakika kuwa utampeleka shule iliyo bora na walimu watajitahidi kuhakikisha kuwa wanamfundisha vizuri pia. Sasa, kipi kitatokea endapo akafeli? utakuwa na haki ya kuituhumu shule husika kuwa imemfundisha mwanao kufeli? la hasha! kufeli ni matokeo ya kutokufaulu. kufeli Kwa mtoto wako hakuthibitishi kuwa shule ilimuandaa kufeli.
Vivyo hivyo ninaamini kuwa Mungu hakuumba mabaya, mabaya ni matokeo ya kutokuwepo Kwa wema ambao kauumba.
Nimejaribu kutumia logic za kawaida ili tusijikite kwenye imani na tukaleta itikadi, ninaruhusu kusahihishwa sambamba na kukosolewa
Aksante.
angalizo! ninamatatizo kidogo na lugha lakini naamini nitajitahidi nipate kueleweka vizuri.
kumekuwa na michango mingi jamvini ambayo ilikuwa ikihitaji kujua nini chanzo cha mema na mabaya, wengine wakilaumu kwanini Mungu aliruhusu mema na mabaya. nimejaribu kufanya utafiti na kuchanganya na akili yangu na kuwashilikisha jambo.
Tuanze Kwa kifikilia jambo moja, Unaweza ukaamua kupima joto na kiwango cha joto kikapanda na kushuka mpaka kufikia degree sifuri, sasa matokeo ya kupima joto yanaweza yakawa ni baridi au joto, watu wengi wanaamini kuwa baridi ni kinyume cha joto, na pia wanaamini ili kukamilisha mfumo wa upatikanaji wa joto na baridi ni lazima pawe na chanzo au uumbwaji wa joto Kwa pamoja. Vivyo hivyo watu wanafikiria sawa kuhusiana na mema na mabaya na pia nuru na Giza.
Naomba tujaribu kufikili zaidi, je aliyeumba joto alikuwa anaulazimu wa kuumba na baridi? baridi ni kinyume cha joto au baridi ni matokeo ya kukosekana Kwa joto? vivyo hivyo kwenye mema na mabaya tujiulize maswali haya.
Mungu alisema na iwe nuru na ikawa nuru, kitabu hakikuonyesha kwamba Mungu aliumba giza na Giza lipo, hivyo Giza ni kama matokeo ya kukosekana Kwa mwanga.
Tujaribu kufikili kivingine, unapompeleka mtoto wako shuleni uwe na uakika kuwa utampeleka shule iliyo bora na walimu watajitahidi kuhakikisha kuwa wanamfundisha vizuri pia. Sasa, kipi kitatokea endapo akafeli? utakuwa na haki ya kuituhumu shule husika kuwa imemfundisha mwanao kufeli? la hasha! kufeli ni matokeo ya kutokufaulu. kufeli Kwa mtoto wako hakuthibitishi kuwa shule ilimuandaa kufeli.
Vivyo hivyo ninaamini kuwa Mungu hakuumba mabaya, mabaya ni matokeo ya kutokuwepo Kwa wema ambao kauumba.
Nimejaribu kutumia logic za kawaida ili tusijikite kwenye imani na tukaleta itikadi, ninaruhusu kusahihishwa sambamba na kukosolewa
Aksante.