Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Kujua ni nini na unajuaje unajua ama hujui?

Unajuaje wewe upo?

Kwa nini husemi kwamba hujui kama upo au haupo na wewe?
kwanini niseme sipo nawakati nipo,ningekuwa sipo ungechati na asiekuwepo..?
najua nipo kwasababu nipo na nina ufahamu wakujua nipo.
 
Are you ready?!!! 😏
Sio unalia lia tuu hapo na kumlaumu usiyemjua.
Soon,utakuwa kichaa
 

Attachments

  • VID-20240626-WA0023.mp4
    4.9 MB
kwanini niseme sipo nawakati nipo,ningekuwa sipo ungechati na asiekuwepo..?
najua nipo kwasababu nipo na nina ufahamu wakujua nipo.

Nakwenda na dhana yako ya "sijui kama yupo au hayupo". Nachujua upande huo wa skwpticism.

Hujaeleza unajuaje kitu.

Unajuaje huu ni ukweli na huu ni uongo.

Unajuaje wewe upo kweli, na unavyofikiri wewe upo si kazi ya li computer moja kubwa sana la Artificial Intelligence tu, software yake inajutekenya kulifanya lizalishe mawazo kuwa wewe upo, wakati kiukweli haupo?
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji
Acha kufuru bro shukuru hata kwa uzima uliokuwa nao kuna wengine wapo hospitalii asaiv wanapumilia mipira wanatamn uhai uliokuwa nao kama wewe. Hivo vingine majariwa tu
 
Acha lawama , wewe ndie unapaswa kuwajibika
 
Nakwenda na dhana yako ya "sijui kama yupo au hayupo". Nachujua upande huo wa skwpticism.

Hujaeleza unajuaje kitu.

Unajuaje huu ni ukweli na huu ni uongo.

Unajuaje wewe upo kweli, na unavyofikiri wewe upo si kazi ya li computer moja kubwa sana la Artificial Intelligence tu, software yake inajutekenya kulifanya lizalishe mawazo kuwa wewe upo, wakati kiukweli haupo?
kupitia uhalisia na ufahamu ndio najua mimi nipo, kweli yakujua nipo kweli ama uongo inathibitishwa na uhalisia.
kupitia milango ya ufahamu ndio najua mimi nipo nakujua huu ni ukweli ama uongo ni kupitia hiyohiyo.. tofauti ya ukweli na uongo ni kuwa ukweli huthibitika na uongo hauthibitiki (ktk nyanja fulani).

so hata kama utasema sipo ila nimetengenezwa na li computer tu, kuthibitisha hivyo utahitaji kuwa na upana wake ktk nyanja zote nakanuni zote zakiulimwengu ambazo tukiweza kuzijua zote ndio tutajua kinagaubaga wakuweza kuthibitisha kila kitu!,hata vile ambavyo hatujavifikia,kuvijua,kuvihisi..

na ndio maana tunapata ugumu kwenye kuthibitisha baadhi ya vitu kwasababu hatujajua kanuni zote zilizopo kwenye ulimwengu,we still don't know about God,Uungu,nini chanzo cha kila kitu,na nini sio chanzo cha kila kitu,ulazima wakuwa na chanzo ama kutokuwa na chanzo umejificha kwenye kanuni ambazo hatujazijua bado!.

Hivyo na ndio maana nashangazwa na wote wanaondika kuwa hakuna Mungu ama yupo!,haya yote mawili hayana majibu kwa asilimia 100 kwani hatujajua kwanza hiyo asilimia 100 ktk ulimwengu.. so tukijua ndipo tutapata jibu la swali linalohusu kuwepo ama kutokuwepo kwa Mungu!.
ukisoma kwa makini nafikiri nitakuwa nimejibu maswali mengi na utakuwa umeshaelewa nini hatima yangu ktk mjadala huu!.
 
kupitia uhalisia na ufahamu ndio najua mimi nipo, kweli yakujua nipo kweli ama uongo inathibitishwa na uhalisia.
kupitia milango ya ufahamu ndio najua mimi nipo nakujua huu ni ukweli ama uongo ni kupitia hiyohiyo.. tofauti ya ukweli na uongo ni kuwa ukweli huthibitika na uongo hauthibitiki (ktk nyanja fulani).

so hata kama utasema sipo ila nimetengenezwa na li computer tu, kuthibitisha hivyo utahitaji kuwa na upana wake ktk nyanja zote nakanuni zote zakiulimwengu ambazo tukiweza kuzijua zote ndio tutajua kinagaubaga wakuweza kuthibitisha kila kitu!,hata vile ambavyo hatujavifikia,kuvijua,kuvihisi..

na ndio maana tunapata ugumu kwenye kuthibitisha baadhi ya vitu kwasababu hatujajua kanuni zote zilizopo kwenye ulimwengu,we still don't know about God,Uungu,nini chanzo cha kila kitu,na nini sio chanzo cha kila kitu,ulazima wakuwa na chanzo ama kutokuwa na chanzo umejificha kwenye kanuni ambazo hatujazijua bado!.

Hivyo na ndio maana nashangazwa na wote wanaondika kuwa hakuna Mungu ama yupo!,haya yote mawili hayana majibu kwa asilimia 100 kwani hatujajua kwanza hiyo asilimia 100 ktk ulimwengu.. so tukijua ndipo tutapata jibu la swali linalohusu kuwepo ama kutokuwepo kwa Mungu!.
ukisoma kwa makini nafikiri nitakuwa nimejibu maswali mengi na utakuwa umeshaelewa nini hatima yangu ktk mjadala huu!.
Milango ya ufahamu inaweza kukuonesha chemchemi jangwani, ukafikiri kuna maji, wakati hakuna maji, ni mirage tu.

Unaelewa hilo?
 
Okoka na jisalimishe kwa YESU atakutua mikosi na laana zako
 
Milango ya ufahamu inaweza kukuonesha chemchemi jangwani, ukafikiri kuna maji, wakati hakuna maji, ni mirage tu.

Unaelewa hilo?
"tofauti ya ukweli na uongo ni kuwa ukweli huthibitika na uongo hauthibitiki (ktk nyanja fulani).

so hata kama utasema sipo ila nimetengenezwa na li computer tu, kuthibitisha hivyo utahitaji kuwa na upana wake ktk nyanja zote nakanuni zote zakiulimwengu ambazo tukiweza kuzijua zote ndio tutajua kinagaubaga wakuweza kuthibitisha kila kitu!,hata vile ambavyo hatujavifikia,kuvijua,kuvihisi.."

komenti niliyoitoa ukiisoma vyema na ukaelewa imeshamaliza hadi mjadala!,jibu la swali lako lipo humo.
 
"tofauti ya ukweli na uongo ni kuwa ukweli huthibitika na uongo hauthibitiki (ktk nyanja fulani).

so hata kama utasema sipo ila nimetengenezwa na li computer tu, kuthibitisha hivyo utahitaji kuwa na upana wake ktk nyanja zote nakanuni zote zakiulimwengu ambazo tukiweza kuzijua zote ndio tutajua kinagaubaga wakuweza kuthibitisha kila kitu!,hata vile ambavyo hatujavifikia,kuvijua,kuvihisi.."

komenti niliyoitoa ukiisoma vyema na ukaelewa imeshamaliza hadi mjadala!,jibu la swali lako lipo humo.
Unathibitishaje huu ukweli na huu uongo?

Unathibitishaje Mungu yupo kweli na habari za kuwapo kwake si uongo?
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Don't give up my friends we all have life struggles in our daily life although many people they don't share what is going on in their mind and the current generation are too obsessed with material possession that's a problem believe me you can and GOD is our saviour.
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Chukua soda nakuja kulipa
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Mkuu hongera sana Kwa ulicho andika hapa 👍
 
Back
Top Bottom