Mungu jaalia Kenya pawe na amani

stickvibration

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
3,226
Reaction score
5,147
Kila nikiona CITIZEN CHANNEL roho inaniuma wanavyouana wa KENYA. Nyumba kuchomwa moto watu kuuwana soko linaunguzwa halafu tunawasifia kua wana demokrasia ya uhakika

Nikisema saana ntaitwa wa lumumba wakt huko Lumumba sijawah hata kufika tangu nizaliwe

Wakuu tuachane na ushabiki vita ni vitu vibaya na vya kuogopwa saana,,
Hawa majirani zetu walisifiwa na nusu ya dunia kua wanademokrasia ya ukweli leo wanauwana hao wabepari waliokua wanawasifia wako wapi?

BORA TUHANGAIKE TU NA MAISHA..kuliko mlio wa RISASI
 

Mkuu umesema risasi nikamkumbuka Lissu. Sasa mkuu unamsupport Baba Jesca na huku viashiria ni hivyohivyo vya huk Kenya?
 
sijui unataka kufikisha ujumbe gani hapa
 
Mkuu umesema risasi nikamkumbuka Lissu. Sasa mkuu unamsupport Baba Jesca na huku viashiria ni hivyohivyo vya huk Kenya?

Mkuu wewe unahisia tu flani mara flani tukio lilimkuta flani jambazi kaingia kwajirani
Lakini siku ikitokea ukaposhana nayo

Maana risasi ukiuskia mlio ujue umepona,, mchawi haonekani lkn chuma kikilia hata paka halii Nyaaaaaww nyaau!!!
Juzi kati nlikua kenya huko nilipofika sirari brek yangu ya kwanza kwenda kuukumbatia bango lililoandikwa KARIBU JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Mkuu we angalia tu cnema za rambo na za vanda me ila vita isikie tu
 
Mkuu umesema risasi nikamkumbuka Lissu. Sasa mkuu unamsupport Baba Jesca na huku viashiria ni hivyohivyo vya huk Kenya?

Mwaze na LOWASA basi!!!!kua namaumivu pande zooote
Kenya kumenuka au hutembei na dunia mkuu???
 
Si umesema haupo lumumba? Hlf unamaliza kwa kusema unamsupport baba jeska, unawezaje kumtofautisha baba jeska na lumumba wakati yeye ndo mwenyekiti? Kubali we ni lumumba damu mkuu, usiogope kuonyesha msimamo wako.
 
Sawa, wakati wakenya wakifanyiana hayo wewe endelea kukomaa na jpm wako ili viroba vya maiti vipatikane kwa wingi ufukweni, upotevu wa watu uendelee
 
Mwaze na LOWASA basi!!!!kua namaumivu pande zooote
Kenya kumenuka au hutembei na dunia mkuu???

Nianze na Lowassa kwenye nini, sijawahi kimshabikia; simshabikii na wala sintokaa nimshabikie. Nakuambia hayo unayojifanya yanakusikitisha huko Kenya hata hapa ni suala la muda tu.
 
Utawala wa baba jesca ndio risasi zinatumika zaidi. Kwa hiyo unaunga mkono vita? Au hujui dalili ya moto ni moshi?
 
Wewe ni wa lumumba tu na utabaki kuwa wa lumumba tu
 
Msimamo wa Wakenya ni mkali " haki napatikana kwa gharama yoyote " Unyang'anywe haki useme Amen, imekaaje?
 
Nianze na Lowassa kwenye nini, sijawahi kimshabikia; simshabikii na wala sintokaa nimshabikie. Nakuambia hayo unayojifanya yanakusikitisha huko Kenya hata hapa ni suala la muda tu.
Kwa hiyo tusubirie huo muda sio, maana muda huu hakuna.
 
Si umesema haupo lumumba? Hlf unamaliza kwa kusema unamsupport baba jeska, unawezaje kumtofautisha baba jeska na lumumba wakati yeye ndo mwenyekiti? Kubali we ni lumumba damu mkuu, usiogope kuonyesha msimamo wako.

CCM daima amani
Haya mshaurini huyo mamvi alieenda kupiga kampeni Kenya waache vita
Usijikune na kucheka mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…