Mungu katengenezwa na nani?

Mkuu hapa unataka tuamini kuwa bwana Yesu sio Mungu. ..kwa kupitia imani yako tu. Ila sio kosa lako siku ukiutambua ukweli basi utakuwa huru, tena huru kweli kweli.
 

Kama majini aliyaumba Mungu, inawezekana wakawa malaika? Sio kwamba Mungu alishachagua wawe mashetani/majini? Sasa watahukumiwa vp ikiwa yeye mwenyewe Mungu alishachagua hivyo? Yaani katuumba wadhaifu halafu tukimkosea anatutupa kwenye moto?! ...duh, Mung huyu.
 
Kwani kama utaambiwa uchague kati ya kaa la moto na tende utachukua nini?
pamoja na udhaifu uliyonao
 
Ck zt uclolijua saw na uck wa giz jarbun kusoma ili muwez ifaham ip ni din sahihi acha kufuat mkumb utapotezwa
Dini ni moyo wako na matendo yako huko siku ya judjement hutaulizwa wewe ni muslam au mkristo
 
Kutokana na andiko hili la bibilia ukiristo ni upagani
"Wakiristo maana yake ni mfuasi wa kiristo, hilo ni jina la kupanga tu. Lililotumiwa na wapagani wa antioquia"
Matendo ya mitume 11:25
Nilikuuliza WK Jana kwa nn mtume aliingia na viatu msikitini hukujibu nikakupa wk uniletee jibu umeleta? Unapiga kelele tu
 
C kweli
 
Mwanzo wa UZI huu nilidhani hautahusisha matumizi ya vitabu vya dini.
Nilidhani Great thinkers watasugua vichwa na kuja na majibu ya kidunia ukiingiza dini UMEJIFUNGA majibu ni ya KUKARIRI zaidi ikiongozwa na wapi? Ulipoikuta dini yaani umezaliwa baba/mama (waislam/wakristo) ukafuata mkumbo.Dini hizo zinakusomea waumini ni kulishwa tu .
Kujifanya kujua sababu ya KUKARIRI mwisho wa yote hakuna masikilizano kila MTU anajifanya anajua sababu tu kakalilishwa WAUMINI tuwasikilize wakuu wetu wa dini husika wanatufundisha nn wao wamesomea ndo maana tafsiri zao tunazikubali.
 
Bora hata wewe umeliona hilo, Mara oooh sjui Quruan ngapi ngapi ..Mara biblia ngapi ngapi,
Wamesahau kabisa sababu ya kuja hizo dini Africa na historia juu ya uislam na ukristo.

Wengiwetu tunatetea dini kwasababu tumekuta wazazi wetu ndio wanazitumia .
 
Wewe unaongea kwa matamshi yako .Na kama huongei kwa matamshi yako tupe ushahidi wowote kutoka katika kitabu usemao
hayo maneno si kweli
Nilikuuliza swali kabla ya mtume waislam walitumie mwongozo upi?
Hukujibu

Nikakuuliza kwa nn mtume aliingia na viatu msilitini hukujibu yote hayo mawili

Ndio sasa nikaona huna uhakika wala huna uelewa na hayo unayoyaongea ndio nikasema c kweli niambie umefundishwa majibu au!!
 
Hili swali najiulizaga sana, kama Mungu anajua A to Z about you kabla hata haujazaliwa (kwamba utazaliwa hosp flani, na utakufa sehem flani either ukiwa bado una dhambi sasa ,kwann aliruhusu ukazaliwa na alijua dhahiri kuwa mwisho wako utakufa ukiwa na dhambi.
 
Kumbe Yesu sii Mungu eeh!!nilitaka kushangaa,mungu gani anapigwa bakora na aliowaumba "bana"?ahsante kwa taarifa na kunifumbua macho.


Mnaemwita Nabii Issa sisi huyohuyo tunamtambua kama Yesu Kristo mwana wa Mungu ambaye ni Mungu pia..,, Katika Quran yenu mnaandika aya kwamba moja ya miujiza aloifanya ni kuumba ndege wa udongo na kumpulizia pumzi kisha kuruka.,, kwa kifupi alishiriki uumbaji

Swali ni Je kuna mwanadamu aliwahi kutengeneza au kufanya kitu chenye pumzi..?? Na kama hakuna basi hata Quran yenu inakiri Yesu Kristo ni Mungu....!!!
 
 
Mkuu hayo uliyoandika umeyatoa wapi?naona umekuwa msemaji wa Mungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…