Mungu likumbuke Taifa la Tanzania wakumbuke Watanzania wanyonge kwa matajiri

Mungu likumbuke Taifa la Tanzania wakumbuke Watanzania wanyonge kwa matajiri

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mungu tunatubu kama kuna mahali tumekukosea sisi watanzania au tumewakosea wazee wetu waliokwisha tangulia mbele ya haki.

Mungu usiposhuka nakuliongoza Taifa hili miaka mitano tena hatujuwi Nani atatuongoza.

Mungu unajuwa yalio sirini na yalio sio yasirini. Funua ya sirini uliponye Taifa funua tusio yajuwa ili tusiingie mtegoni mwa adui.

Taifa hili tunakuitaji wewe kuliko watu au vitu maana walijuwa Taifa hili kabla yakuwepo na hata baada yakuwepo.

Tusamehe Baba na uwalinde wale wote wanatetea umoja wetu na Katiba yetu asiwepo wakupotea ama kutana na adui maana wewe ni Mungu na haushindwi Kwa lolote.

Mamlaka yeyote inawekwa na wewe Sisi hatuna jeshi wala idara nyeti kutulinda Ila tuna Wewe Mungu, kama kweli Yale yanatendeka ni haki yetu basi Wewe wajuwa Ila kama kuna maonevu ambayo sii sahihi na Wewe Mungu unaona basi utatujibu Kwa wakati wako. Amen
 
Enheee endelea kujongea mkuu , niimami yangu, baada ya kuwa umetubu maovu yako yote na Mungu wetu mwingi wa huruma kukusamehe.
Utakuja hapa hapa jf kufanya malipizi, malipizi ambayo yatakuwa ni kuyaweka wazi maovu yote ya sirini ambayo wewe umehusika nayo na uliyoyaona.
Baada tu ya kuyaweka wazi mbele ya watanzania then tutakusamehe.
RIP BEN SAANANE
 
Hizi mada zako kipindi hiki zimekuwa za kujuta, kulalamikia na zenya kujaa huzuni tofauti na kipindi awamu hii imeingia madarakani.

Nini kimekukumba? Au mfumo umekutapika?
 
Kiukweli tusaidie kujua alipo Ben saa 8.
 
Tanzania kwa sasa ni kichwa cha mwendawazimu.Baada ya uchaguzi kulawitiwa na wananchi wakabaki wakikenua meno, sasa hivi ni mwendo wa katiba kulawitiwa!
 
Dooh! Huyu mtu yupo kwenye stage ya kuhitaji msaada anaonekana ana majuto makubwa sana....Ila usihofu nchi ipo salama kabisaa Mungu amuongoze Jemedali wetu Magufuli katika kulisukuma gurudumu mbele.
 
Tumekosea sana kuacha mtu huyu anayeitwa jiwe atawale nchi hii.
 
Back
Top Bottom