Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu)

Mizimu ni elimu pana mkuu, kabla hazijaja dini Mizimu ilikuwa ni Uungu kamili.MSIPUUZE HILI.
Mizimu ilitake advantage ya kuabudiwa na watu zamani kwa sababu hawakujua wanachokiabudu.
Mizimu ni wakuu wa falme za Giza wanaosimamia jamii,ukoo,kabila,taifa au familia fulani kwa kuishape ishi kulingana na matakwa ya mizimu
 
Mizimu ilitake advantage ya kuabudiwa na watu zamani kwa sababu hawakujua wanachokiabudu.
Mizimu ni wakuu wa falme za Giza wanaosimamia jamii,ukoo,kabila,taifa au familia fulani kwa kuishape ishi kulingana na matakwa ya mizimu
Usichokijua hata dini zimeshepiwa, Na katika dini zenye nguvu mizimu ni mojawapo.Ns ndio maana walokole na waislamu hukesha kuzipiga vita.Unapozungumzia mizimu usisahau mila
 
Usichokijua hata dini zimeshepiwa, Na katika dini zenye nguvu mizimu ni mojawapo.Ns ndio maana walokole na waislamu hukesha kuzipiga vita.Unapozungumzia mizimu usisahau mila
Mizimu haitaki maendeleo, mganga na mchawi wanaouwezo wa kuongea na mizimu ya ukoo wenu ili wakudhuru kwa sababu wote boss wao ni mmoja
 
Hii si,kweli.
Wapo waliobarikiwa na hakuna laana. Na wapo wenye utajiri mkubwa pasipo ku mix na mambo ya kishetani

Zingatia.

BARAKA ZA MUNGU HAZINA MAJUTO.
 
Kutambika ni Nini
Kukutanisha ukoo fulani ili kukamilisha mila, desturi, kuwakumbuka waliokufa zamani.Ili kujulisha kizazi kipya asili yao.Kukagua, kuombea na kupalilia makaburi.kuandaa chakula na pombe za kiasili kisha kucheza ngoma na burudani za jadi.
Na kukumbushana mambo mbali mbali ya kiukoo na mipangilio mbalimbali.
 
Samigina, pepo nambari 4 katika Ufunguo Mdogo wa Sulemani. Huwa nasikia watu wakiuliza "nimwite demu gani kufanya x?" X akimaanisha chochote wanachotafuta. Hilo linaweza kuwa chochote kutoka kwa upendo au pesa, au ustadi wa muziki, hadi ulinzi, kuondolewa kwa laana, n.k. Kwa hivyo ni vizuri kuorodhesha mashetani wote unaowajua katika grimoire yako binafsi na kile wanachoweza kufanya. Roho hii inafanya nini? Anafundisha sayansi huria na anatoa hesabu ya roho zilizokufa zilizokufa katika dhambi. Sayansi huria ni nini? Zinafafanuliwa kuwa lolote kati ya masomo saba ya kimapokeo ya kitaaluma: sarufi, mantiki, balagha, hesabu, muziki, jiometri, na unajimu. Hivyo basi, pepo ambaye anaweza kukufundisha jinsi ya kucheza muziki na kumvutia msichana unayempenda! Anaweza pia kuleta bibi yako aliyekufa ili uweze kuzungumza naye, hiyo ni sehemu ya necromancy "inatoa akaunti ya roho zilizokufa ambazo zilikufa katika dhambi."


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma mara nyingi niwezavyo lakini sijaelewa
 
Ndugu mshana,

Upo utajiri fake na utajiri Original.

Utajiri fake hutoka Kwa Shetani, hivyo tunguri, kafara lazima zihusike.

Utajiri original hutoka Kwa Mungu, na Mungu hakupi utajiri orijino asikupe maelekezo, utajiri orijino huendana na ZAKA na IBADA Kwa Mungu.

Wanaoyumba ni wale waliojaliwa Utajiri na Mungu bila kuomba, walifanya juhudi katika KAZI, na kutajirika, wapatapo mashambulizi ya kipepo Huwa wanaoyumba sababu hawajui chanzo Cha utajiri wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…