Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu)

Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu)

Mizimu haitaki maendeleo, mganga na mchawi wanaouwezo wa kuongea na mizimu ya ukoo wenu ili wakudhuru kwa sababu wote boss wao ni mmoja
Kama ndio hivyo Wahindi wasingekuwa na mafanikio maana hawa jamaa hivyo vitu wana viamini mnooo.

Haya mambo ya utajiri kila mtu ana formula yake,ila kama ww umeamua kumuomba Mungu muombe kweli kweli huku ukijituma kufanya kazi, ila kuna wengine wanaamini mambo mengine na bado wanatoboa.
 
Kukutanisha ukoo fulani ili kukamilisha mila, desturi, kuwakumbuka waliokufa zamani.Ili kujulisha kizazi kipya asili yao.Kukagua, kuombea na kupalilia makaburi.kuandaa chakula na pombe za kiasili kisha kucheza ngoma na burudani za jadi.
Na kukumbushana mambo mbali mbali ya kiukoo na mipangilio mbalimbali.
Kama ha
Kama ndio hivyo Wahindi wasingekuwa na mafanikio maana hawa jamaa hivyo vitu wana viamini mnooo.

Haya mambo ya utajiri kila mtu ana formula yake,ila kama ww umeamua kumuomba Mungu muombe kweli kweli huku ukijituma kufanya kazi, ila kuna wengine wanaamini mambo mengine na bado wanatoboa.
Utajiri wao hautokani na mizimu bali ni kuiga mfumo wa maisha ya kiuchumi ulioasisiwa na wayahudi ambao hata wachina,wachaga,wakinga, waarabu, wazungu uutumia,wengi hatuufuati thus tu masikini.
 
Mimi sijaomba ya kisayansi....Mimi nimeomba ithibati tu basi ..Wewe mwenyewe ndo uchague unipe ya aina gani, chamsingi isiwe na shaka tu basi.
Hapana hakuna kitu kisichokuwa na chanzo.. Ukitaka ithibati kutoka kwangu nitakupa ya kiroho na kuthibitisha kwamba uchawi upo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ha

Utajiri wao hautokani na mizimu bali ni kuiga mfumo wa maisha ya kiuchumi ulioasisiwa na wayahudi ambao hata wachina,wachaga,wakinga, waarabu, wazungu uutumia,wengi hatuufuati thus tu masikini.
Umesema mizimu haitaki maendeleo? Ndipo nilipo kushangaa maana kwa wahindi wana aamini hivi vitu tena wanafanya kwa uwazi na swala la mizimu hauhitaji mganga wa kienyeji, bali hata wewe unaweza kuongea nao ila unatakiwa uwe na IMANI.

Kila kitu msingi wake ni IMANI,iwe mkristo, muislam,budha,uwe unaabudu mizimu.
 
Umesema mizimu haitaki maendeleo? Ndipo nilipo kushangaa maana kwa wahindi wana aamini hivi vitu tena wanafanya kwa uwazi na swala la mizimu hauhitaji mganga wa kienyeji, bali hata wewe unaweza kuongea nao ila unatakiwa uwe na IMANI.

Kila kitu msingi wake ni IMANI,iwe mkristo, muislam,budha,uwe unaabudu mizimu.
Mizimu ni miungu na sio Mungu.
Mbona waafrika wanaabudu mizimu na bado awatoboi
 
Wapo wa Africa wanao abudu mizimu na wana maendeleo, mmoja wapo namjua ni msomi na ana master ya procurement na wapo wengi sana.

Ila vyote iwe mizimu au Mungu unatakiwa uwe na Imani ndio point yangu.
Hao ni wazee wa makafara huo ni utajiri wa makafara ya damu za watu kupitia ajali nk
 
Hao ni wazee wa makafara huo ni utajiri wa makafara ya damu za watu kupitia ajali nk
Jamaa hatoi kafara lolote, sio huyo na kumbuka kuna mwanasheria mmoja nilisoma makala yake yy naye anaamini katika mizimu.
 
Mizimu ilitake advantage ya kuabudiwa na watu zamani kwa sababu hawakujua wanachokiabudu.
Mizimu ni wakuu wa falme za Giza wanaosimamia jamii,ukoo,kabila,taifa au familia fulani kwa kuishape ishi kulingana na matakwa ya mizimu
Kumbuka hata yesu mudi nawengineo ni mizimu mambo leo
 
AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO.

BIBAFSI SIAMINI KABISA KITABU CHOCHOTE ZAIDI YA BIBLIA.

HIZO REJEA NI ZA KISHETANI.
Isome sana na uitunze moyoni BIBLIA uliyonayo,

Siku chache zijazo, matoleo ya BIBLIA fake yatakuja, na BIBLIA orijino itaondoshwa.

Shika sana ulichonacho, mwovu asije kukunyanganya.
 
Back
Top Bottom