mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,023
- 1,622
Aah mamaee Leo Niko bize na KWe mzee Umetumwa utupie watu mapepo[emoji3]
Usiku wa leo naanza nawe
View attachment 2691032
Sent using Jamii Forums mobile app
Vant
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah mamaee Leo Niko bize na KWe mzee Umetumwa utupie watu mapepo[emoji3]
Usiku wa leo naanza nawe
View attachment 2691032
Sent using Jamii Forums mobile app
Moloch
Una pointNdugu mshana,
Upo utajiri fake na utajiri Original.
Utajiri fake hutoka Kwa Shetani, hivyo tunguri, kafara lazima zihusike.
Utajiri original hutoka Kwa Mungu, na Mungu hakupi utajiri orijino asikupe maelekezo, utajiri orijino huendana na ZAKA na IBADA Kwa Mungu.
Wanaoyumba ni wale waliojaliwa Utajiri na Mungu bila kuomba, walifanya juhudi katika KAZI, na kutajirika, wapatapo mashambulizi ya kipepo Huwa wanaoyumba sababu hawajui chanzo Cha utajiri wao.
MhhhhhhZiko Principle za Maisha!
Huhitaji Nguvu yoyote kulinda utajiri!
Isipokuwa ziko Energies ambazo zinatengeneza inflow na outflow ya pesa!
Kutoa pesa kwenye maeneo yenye UHITAJI yanasababisha INFLOW ENERGIES KUSABABISHWA!
Hata wanaopokea wanajenga kitu kinaitwa Wish Well kwa mtoaji!
Mguso wa Roho zenye uhitaji ni ulinzi wa Utajiri.
Kuhusu Mfalme Suleiman kuwa na Majini ni kwa Sababu alijichanganya kwenye kuoa!
Wanawake wa Misri walikuwa na Miungu yao..walikuwa Washirikina...lakini walikuwa pia Wazuri sana!!
Hao walimlazimisha Mfalme kutambika na kutekeleza mambo yao ya kichawi...ndo maana akaingia kwenye hizo Mambo!
By the way
Definition ya Utajiri ni ngumu kuelezea kwa Sababu utajiri ni Appreciation..
Au FURAHA PIA NI NGUMU ku-generelize!
Maria Tereza wa Calcuta ni Mwanamke Mtawa ambaye alikuwa Tajiri wa Kutoa ...
Mahitaji ya wenye Shida ilipitia mikononi mwake kwa Mabilioni...
Lakini mwisho wa yote alikuwa anagawa yote kwa Masikini!
Ni TAJIRI WA KUTOA!
KWA HIVO NI VEMA Kujifunza PRINCIPLES ZA MAISHA...
NGUVU ZA GIZA NI KIVULI CHA UONGO!
Na mwisho unajikuta kuwa Mtumwa wa Tunguri!
Dont buy that!
Leo umeamua kutufundisha ulozi?Nimekuwa nikijaribu kufanya kazi ya "idara" ya mapepo, kwa kukosa maneno bora, na ni changamoto sana. Grand Grimoire mara nyingi huweka mabwana wawili juu ya roho fulani, ambayo inaweza kuelezea kwa nini baadhi yao wana vyeo tofauti katika Goetia.
Nilitumia tu maeneo yafuatayo ili yasizidi sana;
Goetia,
Order of the Fly,
Qliphoth,
True Grimoire,
Grand Grimoire & Black Dragon (inc. Honorius).
Amaymon/Mammon ndiyo inayotatanisha zaidi;
Je, yuko kaskazini, kusini, au mashariki? Kwa nini Baali, Ashtorothi, Beliali, na Asmodeo wako kati ya wale 72 wakati wanaonekana kuwa wakubwa kuliko wale wafalme wanne? Siraki ina jukumu gani?View attachment 2693459
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana.. Leo sijaamua kuwafundisha uloziLeo umeamua kutufundisha ulozi?