Hakuna cha ushindi ,Ajiunge Yanga kule mazezeta atawashindaMzee huyu anaijua simba vizuri na pia ni miongoni mwa waliokabidhiwa timu kutoka mikononi mwa waasisi, si hivyo tu ni mtu mwenye mapenzi ya dhati na timu. Sisi wana SIMBA tunaojitambua tuko bega kwa bega na wewe. Yeye kama ana pesa si aanzishe timu yake kama mzee wa AZAM? MO! TUACHIE TIMU YETU.
Mchukueni nyie yanga aje kwenye timu yenu aungane na mazezeta wenzake mliojaa huko kama weweMzee huyu anaijua simba vizuri na pia ni miongoni mwa waliokabidhiwa timu kutoka mikononi mwa waasisi, si hivyo tu ni mtu mwenye mapenzi ya dhati na timu. Sisi wana SIMBA tunaojitambua tuko bega kwa bega na wewe. Yeye kama ana pesa si aanzishe timu yake kama mzee wa AZAM? MO! TUACHIE TIMU YETU.
AmeeenMzee huyu anaijua simba vizuri na pia ni miongoni mwa waliokabidhiwa timu kutoka mikononi mwa waasisi, si hivyo tu ni mtu mwenye mapenzi ya dhati na timu. Sisi wana SIMBA tunaojitambua tuko bega kwa bega na wewe. Yeye kama ana pesa si aanzishe timu yake kama mzee wa AZAM? MO! TUACHIE TIMU YETU.
Yanga inaingia vipi hapa?Hakuna cha ushindi ,Ajiunge Yanga kule mazezeta atawashinda