Mungu muumba mbingu na nchi. Nyie ambao mnamtukuza sana Rais Samia jiangalieni

Mungu muumba mbingu na nchi. Nyie ambao mnamtukuza sana Rais Samia jiangalieni

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hii MADA haina uhusiano na kusifia mazuri au makubwa aliyoyafanya Rais Samia.

Huu Uzi hauna uhusiano na kukandia au kufifisha shughuli za Rais Samia. Uzi huu ni kwaajili ya onyo .

Nyie mnaomsifia Rais Samia kwa malengo yenu binafsi either kutaka cheo, pesa au ulinzi wa shughuli zenu mnamchonganisha Rais Samia na muumba wake.

Endeleeni kumsifia

Naishia hapa .
 
Njaa, ujinga, tabu, shirki, hofu, tamaa vyote ukivionganisha unapata mtu wa aina hio wa kumwimbia mwanadamu mwenzake "glory and praise"
 
Hii MADA haina uhusiano na kusifia mazuri au makubwa aliyoyafanya Rais Samia.
Huu Uzi hauna uhusiano na kukandia au kufifisha shughuli za Rais Samia.
Uzi huu ni kwaajili ya onyo .
Nyie mnaomsifia Rais Samia kwa malengo yenu binafsi either kutaka cheo, pesa au ulinzi wa shughuli zenu mnamchonganisha Rais Samia na muumba wake.
Endeleeni kumsifia
Naishia hapa .
Sawa wataanza kukutukuza wewe unless una tafsiri Yako ya kutukuza
 
Hii MADA haina uhusiano na kusifia mazuri au makubwa aliyoyafanya Rais Samia.
Huu Uzi hauna uhusiano na kukandia au kufifisha shughuli za Rais Samia.
Uzi huu ni kwaajili ya onyo .
Nyie mnaomsifia Rais Samia kwa malengo yenu binafsi either kutaka cheo, pesa au ulinzi wa shughuli zenu mnamchonganisha Rais Samia na muumba wake.
Endeleeni kumsifia
Naishia hapa .
IMG-20250313-WA0076.jpg
 
Hii MADA haina uhusiano na kusifia mazuri au makubwa aliyoyafanya Rais Samia.
Huu Uzi hauna uhusiano na kukandia au kufifisha shughuli za Rais Samia.
Uzi huu ni kwaajili ya onyo .
Nyie mnaomsifia Rais Samia kwa malengo yenu binafsi either kutaka cheo, pesa au ulinzi wa shughuli zenu mnamchonganisha Rais Samia na muumba wake.
Endeleeni kumsifia
Naishia hapa .
asante na ubarikiwe kwa kuwa na macho ya rohoni. Ndio hivyo
 
Back
Top Bottom