MUNGU, Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili, LAKINI Huwa Hawalindi Wote Wenye Mwili

MUNGU, Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili, LAKINI Huwa Hawalindi Wote Wenye Mwili

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,097
Napenda Niweke Vizuri Jambo hili ambalo wengi hawalielewi.

kwa mujibu wa biblia ktk kitabu cha YEREMIA 32:27, Inasema Mungu Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili. Sasa tafsiri ya hapa ni kwamba Mungu ndiye muumbaji wa wote wenye mwili, kwamba vitu vyote vimetokana na yeye wakiwemo wanadamu.

lakini ktk masuala ya kuhudumia, kulinda,kubariki,nk, Mungu huwa hawahudumii au kuwalinda wote wenye mwili. kwa mujibu wa biblia YOHANA 17:4-12, Tunaona Hapa Sifa Za Watu Wanaopaswa Kulindwa,kubarikiwa, Kusikilizwa, Kuangaliwa,na Kujibiwa Maombi Zaidi Na Mungu Ni Wale Waliomwamini Na Kumkiri Mwanae Yesu Kristo.

Sasa Hapa Ndipo Wengi Hawaelewi, Mungu Anasikia Sauti Zote Za Duniani, Mbinguni,na Hata Kuzimu, LAKINI Huwa Hasikilizi Sauti Zote, Bali Za Wale Walioliamini Neno Lililohubiriwa Na Mwanae Yesu Kristo. Na Hapa Ndipo Kuna Tofauti Kati Ya Waaminio Na Wasioamini.

Hivyo Ndg Zangu Yamkini Umekua Ukiomba Sana Mungu Akusaidie Mahali Fulani, Kumbuka Kama Hujaamini, Mungu Atakuckia Tu Lakini Hata Kuckiliza. Ni Vema Kuokoka Sasa.
 
Napenda Niweke Vizuri Jambo hili ambalo wengi hawalielewi.

kwa mujibu wa biblia ktk kitabu cha YEREMIA 32:27, Inasema Mungu Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili. Sasa tafsiri ya hapa ni kwamba Mungu ndiye muumbaji wa wote wenye mwili, kwamba vitu vyote vimetokana na yeye wakiwemo wanadamu.

lakini ktk masuala ya kuhudumia, kulinda,kubariki,nk, Mungu huwa hawahudumii au kuwalinda wote wenye mwili. kwa mujibu wa biblia YOHANA 17:4-12, Tunaona Hapa Sifa Za Watu Wanaopaswa Kulindwa,kubarikiwa, Kusikilizwa, Kuangaliwa,na Kujibiwa Maombi Zaidi Na Mungu Ni Wale Waliomwamini Na Kumkiri Mwanae Yesu Kristo.

Sasa Hapa Ndipo Wengi Hawaelewi, Mungu Anasikia Sauti Zote Za Duniani, Mbinguni,na Hata Kuzimu, LAKINI Huwa Hasikilizi Sauti Zote, Bali Za Wale Walioliamini Neno Lililohubiriwa Na Mwanae Yesu Kristo. Na Hapa Ndipo Kuna Tofauti Kati Ya Waaminio Na Wasioamini.

Hivyo Ndg Zangu Yamkini Umekua Ukiomba Sana Mungu Akusaidie Mahali Fulani, Kumbuka Kama Hujaamini, Mungu Atakuckia Tu Lakini Hata Kuckiliza. Ni Vema Kuokoka Sasa.
Napenda Niweke Vizuri Jambo hili ambalo wengi hawalielewi.

kwa mujibu wa biblia ktk kitabu cha YEREMIA 32:27, Inasema Mungu Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili. Sasa tafsiri ya hapa ni kwamba Mungu ndiye muumbaji wa wote wenye mwili, kwamba vitu vyote vimetokana na yeye wakiwemo wanadamu.

lakini ktk masuala ya kuhudumia, kulinda,kubariki,nk, Mungu huwa hawahudumii au kuwalinda wote wenye mwili. kwa mujibu wa biblia YOHANA 17:4-12, Tunaona Hapa Sifa Za Watu Wanaopaswa Kulindwa,kubarikiwa, Kusikilizwa, Kuangaliwa,na Kujibiwa Maombi Zaidi Na Mungu Ni Wale Waliomwamini Na Kumkiri Mwanae Yesu Kristo.

Sasa Hapa Ndipo Wengi Hawaelewi, Mungu Anasikia Sauti Zote Za Duniani, Mbinguni,na Hata Kuzimu, LAKINI Huwa Hasikilizi Sauti Zote, Bali Za Wale Walioliamini Neno Lililohubiriwa Na Mwanae Yesu Kristo. Na Hapa Ndipo Kuna Tofauti Kati Ya Waaminio Na Wasioamini.

Hivyo Ndg Zangu Yamkini Umekua Ukiomba Sana Mungu Akusaidie Mahali Fulani, Kumbuka Kama Hujaamini, Mungu Atakuckia Tu Lakini Hata Kuckiliza. Ni Vema Kuokoka Sasa.
 
swala siyo kuokoka,, JiBu sahihi nikwaMBa yatupasa kuishi ukristo,, ""yani tuishi upendo na tupendane,, walio okoka wapo MBinguni sisi Bado tupo safari,,!
 
Mpendwa Illovo Na Mke wako Mtarajiwa atu mbwele

Jifunze kuepuka self-refuting kwenye sentensi zako
Mfano unaposema kuwa,Mungu anasikia sauti Zote za Duniani na hata kuzimu
Halafu Baadae unasema,Lakini huwa hasikiliza sauti Zote
Tukueleweje sasa,Huoni kama sentensi ya kwanza Inapingana na ya Pili?Unajua maana ya neno Zote?

Au unaposema kuwa,Mungu Atakusikia Lakini Hatokusikiliza
Hivi Hii sentensi Inaingia Akilini?
Pia umesema kuna sauti za Kuzimu,unaweza kuniambia kuzimu ni wapi?
 
Mpendwa Illovo Na Mke wako Mtarajiwa atu mbwele

Jifunze kuepuka self-refuting kwenye sentensi zako
Mfano unaposema kuwa,Mungu anasikia sauti Zote za Duniani na hata kuzimu
Halafu Baadae unasema,Lakini huwa hasikiliza sauti Zote
Tukueleweje sasa,Huoni kama sentensi ya kwanza Inapingana na ya Pili?Unajua maana ya neno Zote?

Au unaposema kuwa,Mungu Atakusikia Lakini Hatokusikiliza
Hivi Hii sentensi Inaingia Akilini?
Pia umesema kuna sauti za Kuzimu,unaweza kuniambia kuzimu ni wapi?
Achana na kitu kinaitwa imani mkuu 😀
Mpaka aweze kutofautisha hizo sauti ni kwamba ameshasikiliza zote.
 
mkuu @Illovo hebu ingia google then search the book of enoch, ukisome na ukielewe, hiki kitabu kilikuwa ktk biblia ya zamani huko ila wajanja flani wakakitoa kwa maslahi yao, halafu kwa nini biblia za walokole zina vitabu 66 huku za waroma zina vitabu vingi zaidi
 
Mpendwa Illovo Na Mke wako Mtarajiwa atu mbwele

Jifunze kuepuka self-refuting kwenye sentensi zako
Mfano unaposema kuwa,Mungu anasikia sauti Zote za Duniani na hata kuzimu
Halafu Baadae unasema,Lakini huwa hasikiliza sauti Zote
Tukueleweje sasa,Huoni kama sentensi ya kwanza Inapingana na ya Pili?Unajua maana ya neno Zote?

Au unaposema kuwa,Mungu Atakusikia Lakini Hatokusikiliza
Hivi Hii sentensi Inaingia Akilini?
Pia umesema kuna sauti za Kuzimu,unaweza kuniambia kuzimu ni wapi?
 
tofautisha kati ya kusikia na kusikiliza, kuona na kuangalia MUNGU huwa anasikiliza sauti zote,MUNGU anaona watu wote lakn hawaangalii watu wote KUTOKA 2:23-25
 
tofautisha kati ya kusikia na kusikiliza, kuona na kuangalia MUNGU huwa anasikiliza sauti zote,MUNGU anaona watu wote lakn hawaangalii watu wote KUTOKA 2:23-25

Dada @atu mbwele
Ngoja nikupe maana ya Haya maneno katika Lugha ya kingereza;
kuona=to see
kuangalia=to Look

Maana ya hayo maneno ni Hii,
see~is to perceive with Eye
Look~to turn an eye toward something in order to see

Kwa maana hiyo basi,Ili kuona inabidi Uangalie
Na Ili uone inabidi uwe na Macho.
so unaposema Mungu anaona watu wote lazima Mungu awe na Macho...[Physical eyes]
Na ili uwaone watu wote,lazima uwaangalie watu wote,
kwasababu kabla ya kuona inabidi uangalie kwanza..
 
Dada @atu mbwele
Ngoja nikupe maana ya Haya maneno katika Lugha ya kingereza;
kuona=to see
kuangalia=to Look

Maana ya hayo maneno ni Hii,
see~is to perceive with Eye
Look~to turn an eye toward something in order to see

Kwa maana hiyo basi,Ili kuona inabidi Uangalie
Na Ili uone inabidi uwe na Macho.
so unaposema Mungu anaona watu wote lazima Mungu awe na Macho...[Physical eyes]
Na ili uwaone watu wote,lazima uwaangalie watu wote,
kwasababu kabla ya kuona inabidi uangalie kwanza..
Msumbufu tu huyo
 
kwa hio unataka kuniambia kua wanaomkiri yesu hawateseki? hawana matatizo kwenye ndoa zao? ni matajiri? hawana mahangaiko yoyote? hawafiwi wala kufa? kua makini na hoja zako.sisi ni binadamu tunakumbana na matatizo mbalimbali kwa sababu kuu tatu 1,hatujakamilika so mtu yoyote hata awe mdini vipi atakumbana na matatizo tu 2,shetani naye anahusika 3, tukio lisilotazamiwa humkuta mtu yoyote soma mhubiri 9:11 maana yake kuna accident au lada mtu anatembea ghafla akagongwa na gari ni tukio lisilotazamiwa so ni muhimu kua na usawaziko kuhusu jinsi mungu anavyotoa msaada kuelekea watu wake ulimwenguni kwani sio tu wanaomwamini eti ndo hawana magumu.kwani jaman hamjawahi kuwaona watu ambao hawamwamini mungu wanapona kwenye accident na bado wana maisha mazuri
 
Back
Top Bottom