MUNGU, Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili, LAKINI Huwa Hawalindi Wote Wenye Mwili

MUNGU, Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili, LAKINI Huwa Hawalindi Wote Wenye Mwili

Nataka niwaambie mcje kujifariji, labda nitoe mfano Wa kawaida: mfano ww no baba Wa famlya na una watoto, unapotaka kuleta zawadi nyumbani huwa unaangalia idadi ya watoto wako, ingawa mtaani kwako watoto wapo wengi lakini hao hauwaangalii.

Utaleta zawadi sawasawa na watoto wako, ili hao watoto wengne wapate ni lazima labda wajiunge ili wawe sehemu ya famlya yako.

Sasa na Mungu nae alishaweka utaratibu Wa namna ya kuwa nwanafamiliya ktk familiya yake. Na utaratibu wenyewe ndo kupitia WOKOVU . Kwa iyo waliookoka wanaingia kwny famlya ya Mungu na wanahesabiwa Haki ya kupokea vitu, na kuckilizwa.

Hivyo wasiookoka in sawa tu na watoto Wa familiya nyingne.
 
mkuu @Illovo hebu ingia google then search the book of enoch, ukisome na ukielewe, hiki kitabu kilikuwa ktk biblia ya zamani huko ila wajanja flani wakakitoa kwa maslahi yao, halafu kwa nini biblia za walokole zina vitabu 66 huku za waroma zina vitabu vingi zaidi
Biblia si miongoni mwa vitabu vya Mungu na ndio sababu kubwa ya kutofautiana ktk makusanyo yake
 
Biblia si miongoni mwa vitabu vya Mungu na ndio sababu kubwa ya kutofautiana ktk makusanyo yake
Biblia si miongoni mwa vitabu vya Mungu na ndio sababu kubwa ya kutofautiana ktk makusanyo yake
.

Katika vitabu vyenye nguvu na mamlaka, amani,,upendo no Biblia. Ili ujue uzuri Wa biblia, chukua hatua leo ya kumwamini Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi Wa maisha yako. Amen
 
.

Katika vitabu vyenye nguvu na mamlaka, amani,,upendo no Biblia. Ili ujue uzuri Wa biblia, chukua hatua leo ya kumwamini Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi Wa maisha yako. Amen
Itakuwa huvijui vitabu vya Mungu vilivyoteremshwa kwa manabii/mitume wake....


1. Zaburi
2. Torati
3. Injili
4. Qur'an

[emoji115] hivi ni vitabu vilivyoletwa na Mungu kupitia mitume wake na si biblia
 
Itakuwa huvijui vitabu vya Mungu vilivyoteremshwa kwa manabii/mitume wake....


1. Zaburi
2. Torati
3. Injili
4. Qur'an

[emoji115] hivi ni vitabu vilivyoletwa na Mungu kupitia mitume wake na si biblia[/QUOTE


Mungu hakuleta vitabu, Bali Yeye alitamka na maneno take yakaandikwa , na kila Neno alilotamka Lima nguvu mpk leo. Mambo haya no rohoni kuyajua yanahtj WOKOVU, amua leo na Mungu awe pmj nawe
 
Mpendwa Illovo Na Mke wako Mtarajiwa atu mbwele

Jifunze kuepuka self-refuting kwenye sentensi zako
Mfano unaposema kuwa,Mungu anasikia sauti Zote za Duniani na hata kuzimu
Halafu Baadae unasema,Lakini huwa hasikiliza sauti Zote
Tukueleweje sasa,Huoni kama sentensi ya kwanza Inapingana na ya Pili?Unajua maana ya neno Zote?

Au unaposema kuwa,Mungu Atakusikia Lakini Hatokusikiliza
Hivi Hii sentensi Inaingia Akilini?
Pia umesema kuna sauti za Kuzimu,unaweza kuniambia kuzimu ni wapi?
Tatizo huo mkitabu wake wenyewe unajichanganya
 
Napenda Niweke Vizuri Jambo hili ambalo wengi hawalielewi.

kwa mujibu wa biblia ktk kitabu cha YEREMIA 32:27, Inasema Mungu Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili. Sasa tafsiri ya hapa ni kwamba Mungu ndiye muumbaji wa wote wenye mwili, kwamba vitu vyote vimetokana na yeye wakiwemo wanadamu.

lakini ktk masuala ya kuhudumia, kulinda,kubariki,nk, Mungu huwa hawahudumii au kuwalinda wote wenye mwili. kwa mujibu wa biblia YOHANA 17:4-12, Tunaona Hapa Sifa Za Watu Wanaopaswa Kulindwa,kubarikiwa, Kusikilizwa, Kuangaliwa,na Kujibiwa Maombi Zaidi Na Mungu Ni Wale Waliomwamini Na Kumkiri Mwanae Yesu Kristo.

Sasa Hapa Ndipo Wengi Hawaelewi, Mungu Anasikia Sauti Zote Za Duniani, Mbinguni,na Hata Kuzimu, LAKINI Huwa Hasikilizi Sauti Zote, Bali Za Wale Walioliamini Neno Lililohubiriwa Na Mwanae Yesu Kristo. Na Hapa Ndipo Kuna Tofauti Kati Ya Waaminio Na Wasioamini.

Hivyo Ndg Zangu Yamkini Umekua Ukiomba Sana Mungu Akusaidie Mahali Fulani, Kumbuka Kama Hujaamini, Mungu Atakuckia Tu Lakini Hata Kuckiliza. Ni Vema Kuokoka Sasa.
Hebu tuanze hapa kuokoka n nn?
 
mkuu @Illovo hebu ingia google then search the book of enoch, ukisome na ukielewe, hiki kitabu kilikuwa ktk biblia ya zamani huko ila wajanja flani wakakitoa kwa maslahi yao, halafu kwa nini biblia za walokole zina vitabu 66 huku za waroma zina vitabu vingi zaidi
Mkuu na wezaje kupata hii bibilia ya walokole
 
Kuokoka ni Kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi Wa maisha yako. Iyo inakupa haki na kibali cha kuuingia Ufalme Wa Mungu na kuepukana na adhabu ya milele .

Sasa chukua hatua leo na Mungu anakusubiri ww
Kwan anayetoa kbali cha ufalme Wa mbingun n yesu au mungu
 
Mungu ni kiumbe dhaifu sana ambapo kadri binadamu anavyoendelea mbele katika nyaja mbali mbali basi huzidi kumsahau maana kiuhalisia hana msaada zaidi ya kujifariji, Narudia mungu ni kama kumtakia mtu safari njema au usiku mwema havina madhara wala matokeo yoyote ni wishing too so tuache watu waliokata tamaa wajifariji na mungu but frankly he doesn't exist at all
 
Back
Top Bottom