Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Wazee wanasema, "Mungu ni mwema lakini usiende kucheza mziki na chui". Nikweli kuwa Mungu anatupenda, ila anapenda pia tutumie akili zetu vyema.
Kuna vitu ameshatuonesha kwamba ni hatari, tujitahidi kutumia akili alizotupa na kwa neema yake ataendelea kutusaidia kwa pale tunaposhindwa. Kumbuka, huwezi kula ukiwa umefunga mdomo. Umeshapewa akili itumie ukishirikiana na Mungu.
'Kaa' (crab) akikushika mkono uwe makini, akikutakia amani😅! Kama jogoo akikukimbiza asubuhi kimbia, huwezi jua aliota meno usiku😝🏃🏾♂️🏃🏾♂️
©️Pocco
Kuna vitu ameshatuonesha kwamba ni hatari, tujitahidi kutumia akili alizotupa na kwa neema yake ataendelea kutusaidia kwa pale tunaposhindwa. Kumbuka, huwezi kula ukiwa umefunga mdomo. Umeshapewa akili itumie ukishirikiana na Mungu.
'Kaa' (crab) akikushika mkono uwe makini, akikutakia amani😅! Kama jogoo akikukimbiza asubuhi kimbia, huwezi jua aliota meno usiku😝🏃🏾♂️🏃🏾♂️
©️Pocco