The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Pole sana mkuu,
Je kuna dawa ulitumia ili hilo jiwe litoke kwa njia hiyo?
Je kuna dawa ulitumia ili hilo jiwe litoke kwa njia hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kesho ndio "Last Seen/Comment" yangu humu jamiiforums. Tutaonana tena October 2024 (Miezi 23 kutoka mwezi huu).Pole sana mkuu,
Je kuna dawa ulitumia ili hilo jiwe litoke kwa njia hiyo?
Pole sana mkuu kwenye issue ya stories of change,i hope next time itakua ni zamu yako,Mkuu, kesho ndio "Last Seen/Comment" yangu humu jamiiforums. Tutaonana tena October 2024 (Miezi 23 kutoka mwezi huu).
Ninaangalia kwenye fursa nyingine ya pesa. Kwa bahati mbaya kwenye stories of change nimeangukia pua.
MAWASILIANO YANGU
===
Halotel - 0621 512 203 - Call/SMS
Tigo - 0654 527 779 - Call/SMS/Whatsapp
===
I wish you all the best.
Amen. Stay BlessedPole sana mkuu kwenye issue ya stories of change,i hope next time itakua ni zamu yako,
Good luck mkuu huko uendako,Mungu akipenda tutakutana tena humu.
Tena yalikua mawili moja lime niponyoka likatumbukia ndani ya tundu la chooWewe..
Hilo jiwe limepita njia ya mkojo? How?
Watakuja madaktar waseme maana lilikua mm5Wewe..
Hilo jiwe limepita njia ya mkojo? How?
Mimi ni Male"Wewe utakuwa mwanamke maana kwa mwanaume halipiti hilo. Hongera na pole.
Kwanza mkojo asubuhi ulikata gafla then nikaanza kusikia kama mtu anapitisha kiwembe ndani ya kibofuKatundu kalivyo kadogo vile maumivu yake sio poa
We acha tyuu nduguHayo maumivu,aisee
Mbona nilishaposti nyuma..hadi picha ya majibu ya CT-IVU niliyopewa kutoka muhimbili niliposti?? Na saizi ya jiwe?? Siwezi danganya cz hata dokta nakumbuka alisema ni dogo mnoo" mm5'""why sijalikojoa??Kwamujibu wake ni Mungu kwakua kwake yote yanawezekana japo katoa story fupi haina budi kuamini
Nilipewa dawa ya kulipunguza saizi cz mwanzoni lilikua mm'7 yani baada ya kumeza likapungua likawa mm5' DAWA YA" ALKACORE"nilipewaPole sana mkuu,
Je kuna dawa ulitumia ili hilo jiwe litoke kwa njia hiyo?
AsanteDuhhh...pole na hongera pia
Nilisha toa uzi mwanzo ilivyo anza mpka mwisho leo" haiwezi kua chai" lingekua mm7 ingekua ngumu kupita ila lilikua mm'5...yani nijidanganye mwenyewe??Hapana me nitakataa ujue CHAI
Jiwe lote hilo linapitaje?Mimi ni Male"
Kwenye mrija cz lilikua mm5 lingekua mm7 lisingepita kwenye mrijaJiwe lote hilo linapitaje?
Week mbili zilizopita niliendaDah pole...au ulienda kwa Mwamposa?