Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wakuu
Leo niko hapa kumuomba MUNGU anijalie hekima, busara, mapendo pamoja na utajiri wa moyo na mali na pesa
Ni kwanini nimeamua kumuomba utajiri wa moyo, mali na pesa ni kwa sababu upole bila pesa ni kazi bure
Inatakiwa uwe tajiri wa mali na pesa ili uwagawie masikin na wasiojiweza na hata kuwapatia mitaji vijana na wajane
MUNGU NIJALIE
LONDON BOY
Leo niko hapa kumuomba MUNGU anijalie hekima, busara, mapendo pamoja na utajiri wa moyo na mali na pesa
Ni kwanini nimeamua kumuomba utajiri wa moyo, mali na pesa ni kwa sababu upole bila pesa ni kazi bure
Inatakiwa uwe tajiri wa mali na pesa ili uwagawie masikin na wasiojiweza na hata kuwapatia mitaji vijana na wajane
MUNGU NIJALIE
LONDON BOY