Mungu nikutanishe na Yanga SC huko Mapinduzi Cup

Usiseme unaomba ukutanishwe na Yanga SC sema unaomba timu unayoishabikia ya Simba ikutane na Yanga kwenye fainali mkuu. Wakutane na wewe kwani siku hizi timu zinacheza na watu binafsi?
 
Mtani huwa unaandikaga kwa masham sham kabisa nyuzi zako lakini mwisho wa siku unatukimbia. πŸ˜€πŸ˜€

Hebu nenda kajibu quotes za kwenye ule uzi wako wa siku ile ambao hadi leo hujatujibu kule. 😎😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…