Mungu nikutanishe na Yanga SC huko Mapinduzi Cup

Mungu nikutanishe na Yanga SC huko Mapinduzi Cup

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
81582735_1567156930117209_8546764501318369280_o.jpg


Sio muda kidomodomo cha kutoa sare na timu kubwa Simba Sc kitakwisha. Eeeh Mungu nisaidie ombi langu.

82077894_2721322431288947_6047468326777520128_o.jpg

Striker katili MK 14 akiwa na "hirizi " yake shingoni akielekea Zanzibar na wenzake leo mchana
 
Mtani huwa unaandikaga kwa masham sham kabisa nyuzi zako lakini mwisho wa siku unatukimbia. 😀😀

Hebu nenda kajibu quotes za kwenye ule uzi wako wa siku ile ambao hadi leo hujatujibu kule. 😎😎
 
Back
Top Bottom