Mungu nikutanishe na Yanga SC huko Mapinduzi Cup

hahhahaha.....inamaana watanzania wote hawana macho.
Tunazungumza mwamuzi kusimamia sheria 17 za soka kwa last man, na sio suala macho.

Hiyo ilikuwa ni goal scoring opportunity ambayo Yondan alimzuia Kagere..!
 
Mo anakuwa presented as the most innovative person around. Kumbe mnajua kwamba hakuna kitu kipya Duniani?
 
Tunawaomba Mtibwa wasikubali kutumika kukomaa hii vita siyo yao. Hii wawaachie wenyewe US vs IRAN, lazima mtu afundishwe adabu maana draw anashangilia kuona ni ushindi!
Kama mnataka tena droo njooni na yule mama ambaye ana uthubutu wa kusimamisha mpira wakati Yanga wanashambulia eti kisa Kagere anawashwa na bega. Na power bank ya Kagere muichaji
 
Tunamsema bosi wenu Muuza Ukwaju. Kaiga ukwaju, energy drink, bakers flour. Hata wachezaji mnategemea wa Mpemba. Wawa, Nyoso, Manula pazia, Bocco muangua nazi.
Sasa kuna striker gani churani wa kumzidi John Rafael Bocco?
Kuna defender gani mbuteni wa kumzidi Pascal Wawa?
Kuna defender gani ndala wa kumzidi Erasto Nyoni? MANULA SAWA LILE NI SHATI
.
Bakhresa ni mtu wa kwanza duniani kuunda energy drinks, kuoka madubwasha yake au kuuza ukwaju?
Alafu hizi ni personal business za Mo sisi wana Simba hazituhusu, jengeni uwanja huko mtakaa Kaunda hadi lini
 
Ukwaju? Mo kaiga ukwaju bwana, ubishi wa nini? Ngoja uone Mpemba akianzisha Madafu na Miwa utaona na yeye kaiga
 
[QUOT="Khaligraph Jordan, post: 34040697, member: 456855"]
Uwan aajnajenga lini?
[/QUOTE]
Kaunda stadium ilikuwepo wakati huo mbumbumbu wamelala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…