libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Ushajipangia matokeo tayari ukipigwa unaanza kulaumu wachezaji, hebu acha kununua mechi cheza kwa uhalisiaView attachment 1315872
Sio muda kidomodomo cha kutoa sare na timu kubwa Simba Sc kitakwisha. Eeeh Mungu nisaidie ombi langu.
View attachment 1315875
Striker katili MK 14 akiwa na "hirizi " yake shingoni akielekea Zanzibar na wenzake leo mchana