Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
SABABU ZA UZALENDO KUNITOKA NI HIZI HAPA.
1- Walioteuliwa kuunda kamati ya uhamasishaji siyo wanasoka. Hakuna hata mmoja aliwahi kuichezea timu ya taifa, wengine ni watu wenye scandal mbaya kama Wema Sepetu.
2- mechi iliyopita dhidi ya Lesotho kocha alijaza mabeki tupu mchezoni kana kwamba tumeenda kuzuia tu. HAKUNA MECHI MBAYA NILIYOWAHI KUSHUHUDIA KAMA ILE.
3- Kikosi kilichotajwa kushindana na Uganda hakikutajwa kama ilivyopaswa..... Nyoni na Yondani wamekuja kuitwa baadaye ila bado kuna mapungufu mengi sana hasa eneo la viungo washambuliaji.
4- Kocha anajiona sana. Hafuatilii ligi kujua wachezaji bora ni wapi..... SIJUI KWA NINI BANDA, DILUNGA, HAJIB, NA YULE BEKI KITASA WA AZAM HAWAKUJUMUISHWA........ nashangaa sana uwepo wa kichuya na ulimwengu.
NATAKA LESOTHO WASHINDE DHIDI YA CAPE VERDE HALAFU NIONE ILE KAMATI ITAFANYA NINI.
1- Walioteuliwa kuunda kamati ya uhamasishaji siyo wanasoka. Hakuna hata mmoja aliwahi kuichezea timu ya taifa, wengine ni watu wenye scandal mbaya kama Wema Sepetu.
2- mechi iliyopita dhidi ya Lesotho kocha alijaza mabeki tupu mchezoni kana kwamba tumeenda kuzuia tu. HAKUNA MECHI MBAYA NILIYOWAHI KUSHUHUDIA KAMA ILE.
3- Kikosi kilichotajwa kushindana na Uganda hakikutajwa kama ilivyopaswa..... Nyoni na Yondani wamekuja kuitwa baadaye ila bado kuna mapungufu mengi sana hasa eneo la viungo washambuliaji.
4- Kocha anajiona sana. Hafuatilii ligi kujua wachezaji bora ni wapi..... SIJUI KWA NINI BANDA, DILUNGA, HAJIB, NA YULE BEKI KITASA WA AZAM HAWAKUJUMUISHWA........ nashangaa sana uwepo wa kichuya na ulimwengu.
NATAKA LESOTHO WASHINDE DHIDI YA CAPE VERDE HALAFU NIONE ILE KAMATI ITAFANYA NINI.